TANZIA Mwanariadha Rebecca Cheptegei aliyechomwa moto na mpenzi wake kutoka Kenya afariki dunia

TANZIA Mwanariadha Rebecca Cheptegei aliyechomwa moto na mpenzi wake kutoka Kenya afariki dunia

Kwenye hizi posts, wanaume huwaoni. Ingekua mwanamke ndo amemchoma moto mwanaume wangesimamisha mishipa hapa.

Saizi dunia inaharibiwa na hao hao wanaume. Baba mzazi anabaka mtoto wake alafu yanakaa kuteteana. What a gender
Punguza kisukari hicho kitakumaliza mapema kama unadili na mambo madogomadogo kama hayo
 
Kama sijaelewa, Bwana Dickson ndiye aliyegombana na mpenzi wake Rebeca kwa sababu ya mali, ikapelekea Rebeca kuchomwa moto, naye Dickson tena akaungua na moto kiaje au kivipi?
Petrol sio ya mchezo mchezo,huwa inaunguza hadi anaetaka kuitumia,siyo kama mafuta ya taa

Yaan ile unavyoanzisha moto inakufata huko huko
 
Siku zote kwenye Ndoa/mahusiano kunakuwa na amani endapo Mume ndio Mwenyela tu. Ikiwa Wote wanazo ni shida, ikiwa Mke anazo nyingi ni shida zaidi.
Hapa ndio changamoto imapoanza.
Mume unakuta anataka heshima yake kama kichwa cha familia lakini mwanamke hataki hilo anataka avimbe kichwa kwa sababu ana kazi yake na pesa anazo tena wakiwa hawa watu maarufu kama wasanii au wanamichezo dharau zake inakuwa mara mbili sasa hapo ndipo mume uvumilivu unamshinda na kusema liwalo na liwe
 
Hapa ndio changamoto imapoanza.
Mume unakuta anataka heshima yake kama kichwa cha familia lakini mwanamke hataki hilo anataka avimbe kichwa kwa sababu ana kazi yake na pesa anazo tena wakiwa hawa watu maarufu kama wasanii au wanamichezo dharau zake inakuwa mara mbili sasa hapo ndipo mume uvumilivu unamshinda na kusema liwalo na liwe
Yeah
 
Mwanariadha wa Uganda, Rebecca Cheptegei, mwenye umri wa miaka 33, amefariki leo Alhamisi akipatiwa matibabu kutokana na majeraha mabaya baada ya kushambuliwa na mpenzi wake kwa kumwagiwa petroli na kuchomwa moto nyumbani kwake nchini Kenya.

Katika tukio hilo la kikatili, Cheptegei aliungua zaidi ya asilimia 80% ya mwili wake, na licha ya juhudi za madaktari kumsaidia, viungo vyake vilishindwa kufanya kazi usiku wa jana.


Cheptegei, ambaye alishiriki mbio za Olimpiki ya Paris mwezi Agosti, alikuwa akipatiwa matibabu maalum katika chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Moi Teaching and Referral Hospital, mjini Eldoret, Kenya. Shambulio hili linasemekana kutekelezwa na mpenzi wake, raia wa Kenya, ambaye alijaribu kumchoma moto kwa sababu ambazo bado hazijafahamika kikamilifu.

Shirikisho la Riadha la Uganda (UAF) pia limethibitisha kuaga dunia kwa Cheptegei katika andiko lao kwenye akaunti rasmi ya X, na kutaka haki itendeke likisema "aliangukiwa na vurugu za nyumbani. Tuna masikitiko makubwa kutangaza kifo cha mwanariadha wetu Rebecca Cheptegei mapema leo asubuhi, ambaye alihusika na dhuluma za nyumbani"

Wivu wa mapenzi🥺🥺🥺😭
 
Mwanariadha wa Uganda, Rebecca Cheptegei, mwenye umri wa miaka 33, amefariki leo Alhamisi akipatiwa matibabu kutokana na majeraha mabaya baada ya kushambuliwa na mpenzi wake kwa kumwagiwa petroli na kuchomwa moto nyumbani kwake nchini Kenya.

Katika tukio hilo la kikatili, Cheptegei aliungua zaidi ya asilimia 80% ya mwili wake, na licha ya juhudi za madaktari kumsaidia, viungo vyake vilishindwa kufanya kazi usiku wa jana.


Cheptegei, ambaye alishiriki mbio za Olimpiki ya Paris mwezi Agosti, alikuwa akipatiwa matibabu maalum katika chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Moi Teaching and Referral Hospital, mjini Eldoret, Kenya. Shambulio hili linasemekana kutekelezwa na mpenzi wake, raia wa Kenya, ambaye alijaribu kumchoma moto kwa sababu ambazo bado hazijafahamika kikamilifu.

Shirikisho la Riadha la Uganda (UAF) pia limethibitisha kuaga dunia kwa Cheptegei katika andiko lao kwenye akaunti rasmi ya X, na kutaka haki itendeke likisema "aliangukiwa na vurugu za nyumbani. Tuna masikitiko makubwa kutangaza kifo cha mwanariadha wetu Rebecca Cheptegei mapema leo asubuhi, ambaye alihusika na dhuluma za nyumbani"

Wivu wa mapenzi🥺🥺🥺😭
 
Back
Top Bottom