Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Swahiba Mgagaa na Upwa njoo uwaite kaka zake na huyo Mkenya hebu na si ajabu kwenye hili wakamtetea pia.
Cc. Yule MK nini nini sijui. 😀
Cc. Yule MK nini nini sijui. 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonyeza ignore hapo, usinipangie cha kucomment humuWala sijakulazimisha au kukutaka ufute.
Tafakari mwenyewe pita pembeni. Kila ulichoandika uko sahihi kabisa
Hujafikia hatua hiyo ya mimi kuku ignore kwa sababu hata nilio wa ignore(03) ni wale walionitukana bila sababu na hata baada ya kuwaomba radhi waliendelea. Hivyo kama mimi ninakukera Ignore tu. Mimi niko sawa kabisa.Bonyeza ignore hapo, usinipangie cha kucomment humu
Punguza kisukari hicho kitakumaliza mapema kama unadili na mambo madogomadogo kama hayoKwenye hizi posts, wanaume huwaoni. Ingekua mwanamke ndo amemchoma moto mwanaume wangesimamisha mishipa hapa.
Saizi dunia inaharibiwa na hao hao wanaume. Baba mzazi anabaka mtoto wake alafu yanakaa kuteteana. What a gender
Hayafai eehMapenzi
OkHujafikia hatua hiyo ya mimi kuku ignore kwa sababu hata nilio wa ignore(03) ni wale walionitukana bila sababu na hata baada ya kuwaomba radhi waliendelea. Hivyo kama mimi ninakukera Ignore tu. Mimi niko sawa kabisa.
Mkuuu yule mdadaa wa itv alipigwa risasi na mume akajiuaMashuhuda wanasema walimuona Dickson akimwagia Rebecca petrol nje ya nyumba yake huku wakigombana.
Inawezekana wakati wanazozana kuna petrol kidogo ilimmwagikia Dickson pia.
Petrol sio ya mchezo mchezo,huwa inaunguza hadi anaetaka kuitumia,siyo kama mafuta ya taaKama sijaelewa, Bwana Dickson ndiye aliyegombana na mpenzi wake Rebeca kwa sababu ya mali, ikapelekea Rebeca kuchomwa moto, naye Dickson tena akaungua na moto kiaje au kivipi?
Hapa ndio changamoto imapoanza.Siku zote kwenye Ndoa/mahusiano kunakuwa na amani endapo Mume ndio Mwenyela tu. Ikiwa Wote wanazo ni shida, ikiwa Mke anazo nyingi ni shida zaidi.
YeahHapa ndio changamoto imapoanza.
Mume unakuta anataka heshima yake kama kichwa cha familia lakini mwanamke hataki hilo anataka avimbe kichwa kwa sababu ana kazi yake na pesa anazo tena wakiwa hawa watu maarufu kama wasanii au wanamichezo dharau zake inakuwa mara mbili sasa hapo ndipo mume uvumilivu unamshinda na kusema liwalo na liwe
Wivu wa mapenzi🥺🥺🥺😭Mwanariadha wa Uganda, Rebecca Cheptegei, mwenye umri wa miaka 33, amefariki leo Alhamisi akipatiwa matibabu kutokana na majeraha mabaya baada ya kushambuliwa na mpenzi wake kwa kumwagiwa petroli na kuchomwa moto nyumbani kwake nchini Kenya.
Katika tukio hilo la kikatili, Cheptegei aliungua zaidi ya asilimia 80% ya mwili wake, na licha ya juhudi za madaktari kumsaidia, viungo vyake vilishindwa kufanya kazi usiku wa jana.
Cheptegei, ambaye alishiriki mbio za Olimpiki ya Paris mwezi Agosti, alikuwa akipatiwa matibabu maalum katika chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Moi Teaching and Referral Hospital, mjini Eldoret, Kenya. Shambulio hili linasemekana kutekelezwa na mpenzi wake, raia wa Kenya, ambaye alijaribu kumchoma moto kwa sababu ambazo bado hazijafahamika kikamilifu.
Shirikisho la Riadha la Uganda (UAF) pia limethibitisha kuaga dunia kwa Cheptegei katika andiko lao kwenye akaunti rasmi ya X, na kutaka haki itendeke likisema "aliangukiwa na vurugu za nyumbani. Tuna masikitiko makubwa kutangaza kifo cha mwanariadha wetu Rebecca Cheptegei mapema leo asubuhi, ambaye alihusika na dhuluma za nyumbani"
Wivu wa mapenzi🥺🥺🥺😭Mwanariadha wa Uganda, Rebecca Cheptegei, mwenye umri wa miaka 33, amefariki leo Alhamisi akipatiwa matibabu kutokana na majeraha mabaya baada ya kushambuliwa na mpenzi wake kwa kumwagiwa petroli na kuchomwa moto nyumbani kwake nchini Kenya.
Katika tukio hilo la kikatili, Cheptegei aliungua zaidi ya asilimia 80% ya mwili wake, na licha ya juhudi za madaktari kumsaidia, viungo vyake vilishindwa kufanya kazi usiku wa jana.
Cheptegei, ambaye alishiriki mbio za Olimpiki ya Paris mwezi Agosti, alikuwa akipatiwa matibabu maalum katika chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali ya Moi Teaching and Referral Hospital, mjini Eldoret, Kenya. Shambulio hili linasemekana kutekelezwa na mpenzi wake, raia wa Kenya, ambaye alijaribu kumchoma moto kwa sababu ambazo bado hazijafahamika kikamilifu.
Shirikisho la Riadha la Uganda (UAF) pia limethibitisha kuaga dunia kwa Cheptegei katika andiko lao kwenye akaunti rasmi ya X, na kutaka haki itendeke likisema "aliangukiwa na vurugu za nyumbani. Tuna masikitiko makubwa kutangaza kifo cha mwanariadha wetu Rebecca Cheptegei mapema leo asubuhi, ambaye alihusika na dhuluma za nyumbani"