Sasa hata kama sio lulu huyo Majizo asingeoa??? Yani angeoa na mwanamke angekula helaa zake na mali alizozichumaa kwa jasho vizuri tuu... so msando kamuattack lulu sababu ni star.Sawa ila ndo ukweli wenyewe.
Mtoto wa Lulu atasema"MAMA KATAFUTA BABA MWENYE HELA".
sijui mama yangu alifeli wapi.
ndoa ni kifungo kibaya Sana hasaa kwa matajiri
Hhahaaaa loh!Ni kweli lakini ameulizwa?
Mnoo yani kama hajafuta hadi leo jamaa ana uprimitive sanaa... Huyo mke wake sijui kama kaandikwa kwenye urithi wa kijiko..!! Mali ya majizo imemuuma mpaka daaMwanaume kumuwazia mtoto wa kike mabaya sio uanaume huo.
Mh acha kujidanganya.
Kwanini asiolewe na konda wa daladala?
AiseeSio wote wako hivyo lakini wengi wao wapo hivyo.....zoezi la kugawana mali likishindikana anakufanyia mambo ya kishirikina unakuwa zezeta.......
KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI....
🦂 🦂 🦂 🦂 🦂 🐍🐍🐍🐍🐍Ni mjinga sababu hajui lulu ni brand kubwa hata wasipogawana yule mwanamke ana akili zake kichwani na maisha yake mazuri hata ukimpora kila kitu kwa brand yake bado ataishi tena vzr..
Msando anafikiria km kila mwanamke ni loser km mkewe,Hapana kuna wanawake hawaolewi kuwaza kuachana mgawane mali sababu wana maisha yao,hawajaolewa kisa mali na hawana rogo mbaya ya kimaskini[emoji1787][emoji1787]
Wengine wana future zao wameolewa mapenzi
Sasa hata kama sio lulu huyo Majizo asingeoa??? Yani angeoa na mwanamke angekula helaa zake na mali alizozichumaa kwa jasho vizuri tuu... so msando kamuattack lulu sababu ni star.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Eehe ukitaka usioee ufee mali zako warithi ndugu zakoo si Zinakuuma sanaa[emoji16][emoji16][emoji16]REJEA MZEE MENGI.
Msando yupo SAHIHI.
ndoa ya Kanye West n Kim Kardashian inapumulia mipira .Kanye ajiandae kwa maumivu.
Wataonana wapi sasa???Huyo mkeo au manzi wako wa saivi unae kuna sehemu ambapo mlionanA km ni kwenye kituo cha mwendo kasi ,ofisini au kwenye ndege mlikaa seat moja
Kalili hilo bro
Hata hao EFm walipanga,leo wana jengo lao.Hadi leo nashangaa Wasafi na Bosi wao wamepanga na wanadai wanapata mahela mengi mno
Aisee. Umenifurahisha sana.Kweli kabisa mkuu
Lakini sio mabinti Wote wako evil kiasi hicho
Halafu huwa hawana elimu akiona mghorofa na BMW basi anapapatikia ndoa akijihakikishia Mali lazima aondoke na nusu kumbe sheria haiko hivo
Hayo ya kufaa kuwa mke ni ya ndani...!! Na wanawake hubadilika kama Wanaume ambavyo unaweza badilika na kuanza kumnyanyasa mtoto wa watu kisa mali. Yule majizo nasikia huwa Anakatwangaa kalulu balaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli.uenda majizo kamchunguza vya kutosha.na kajiridhisha kuwa anafaa kuwa mke. Ngoja tuwaache..
Ni umbea tuHhahaaaa loh!
Kihere here
Si kila kitu kinahitaji ushauri wa kisheria.Kwa mtu yeyote aliesoma sheria lazima amuelewe msomi msando.kwa taarifa yako yupo sahihi.ikitokea wakaachana watagawana pasu kuanzia walipooana. Na sio mali alizozitafuta majizo kabla ya ndoa.
Sawa ni kweliKwa mtu yeyote aliesoma sheria lazima amuelewe msomi msando.kwa taarifa yako yupo sahihi.ikitokea wakaachana watagawana pasu kuanzia walipooana. Na sio mali alizozitafuta majizo kabla ya ndoa.
Maybe halijui hili licha ya usomi wakeUnaweza kuwa mwanasheria mshamba vilevile.
Yani, ukaijua sheria lakini ukakosa kile kitu Wafaransa wanakiita "savoir faire".
"Savoir faire" ni uwezo wa kujua sehemu gani useme jambo gani, nguo gani uvae wapi, kitu gani kukifanya kwa kadamnasi gani ni mwiko, sehemu gani hata kufanya ujinga ni sawa, na kadhalika.
Msando hana "savoir faire".
Kazi nyingi hizi "skilled professions", hususan zenye professional boards, kama wanasheria na madaktari, zina miiko mingi na mikali dhidi ya members kutoa professional advise willy nilly online, hususan kwenye social media.
Hapana mkuu sio kuidhalilisha taaluma ni kutoa elimu kwa uma sema inategemea elimu hiyo ameitoa kwa wakati upi na kwa lengo lipi. Kutoa elimu sio lazima uwe umeombwa au kutoa kwa wateja.Si kila kitu kinahitaji ushauri wa kisheria.
Na mwanasheria kutoatoa ushauri wa kisheria mitandaoni, kwa watu ambao si wateja wake na hawajamuomba ushauri, ni kuidhalilisha taaluma ya sheria.
Msando anajua prenuptial agreement ya wanandoa inasemaje?
Ahaaaa labda katoa elimu wengine wajuweSawa ni kweli
Lakini kulikua na hana gani ya kumwambia hivo lulu tena hadharani?
Ukute hata lulu mwenyewe anajua hill.
Hizi tabia za kumparamia mtu kwa style hazipendezi.
Inamfanya lulu aonekane kama whore flan ambaye terget yake ni Mali tu