rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Sasa hata kama sio lulu huyo Majizo asingeoa??? Yani angeoa na mwanamke angekula helaa zake na mali alizozichumaa kwa jasho vizuri tuu... so msando kamuattack lulu sababu ni star.Sawa ila ndo ukweli wenyewe.
Mtoto wa Lulu atasema"MAMA KATAFUTA BABA MWENYE HELA".
sijui mama yangu alifeli wapi.
ndoa ni kifungo kibaya Sana hasaa kwa matajiri
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app