Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
- Thread starter
-
- #81
Hahahaa jamaniMh acha kujidanganya.
Kwanini asiolewe na konda wa daladala?
Siku asikie majizo kaandika Mali zote apewe mkewe atasemaje?Mambo mengine Msando achane nayo kwani yote yana wezekana kwenye mapenzi.
Unaweza kuona unatoa elimu, kumbe unaweka ufa katika familia mpya na kutengeneza lawsuit dhidi yako kwa kuvunja familia.Hapana mkuu sio kuidhalilisha taaluma ni kutoa elimu kwa uma sema inategemea elimu hiyo ameitoa kwa wakati upi na kwa lengo lipi. Kutoa elimu sio lazima uwe umeombwa au kutoa kwa wateja.
Ni kama vile humu tunavyotoa ushauri sio kwamba kila mara tunakuwa tumeombwa basi tu tunatoa tu mawazo yetu bila kujali yana faida kwa nani.
Lazima utetee ugaliHata hao EFm walipanga,leo wana jengo lao.
Sio sababu ni star..sababu ni historian ya lulu na tabia zake za nyumaSasa hata kama sio lulu huyo Majizo asingeoa??? Yani angeoa na mwanamke angekula helaa zake na mali alizozichumaa kwa jasho vizuri tuu... so msando kamuattack lulu sababu ni star.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Kweli boss...!! Pale lakini amezingua sana as if Lulu yani hakuna alichofata zaidi ya mali pale[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio sababu ni star..sababu ni historian ya lulu na tabia zake za nyuma
Majizzo angemuoa mfano Jenifer kanumba au mdada yeyote asie na history mbaya asingemuattack
Ila lulu history yake,kukwapua waume za watu,kudanga,kufumaniwa kuchuna mabuzi
So msando anaweza akawa anamuona ka kaolewa kumchuna majizzo.
But Mara nyingine watu huwa wanakosea,wanajifunza na kubadilika.
Tusiwaattack kwa tabia zao za nyuma.
Mkuu kumbe unaamini kuwa maneno yanaumba ...Bhac hii inatosha kuonyesha unaamini uwepo wa Mungu ....Hapo mwanzo kulikuwako na neno Naye neno alitoka kwa Mungu Naye neno Ni Mungu ...Niishie hapa ...kuwa Umekubali kuwa Mungu yupoCouple haihitaji kukubaliwa na mtu mwingine yeyote, inatakiwa kujikubali yenyewe tu.
Hivi Lulu akimwambia Msando kwamba Msando ana wivu wa kisenge, anataka Lulu aachwe ili Msando aolewe na Majizo, atie timu kwenye "mjengo" Msando atajisikiaje?
Kuna maneno mengine mwanamme hata kama unaona hii couple haidumu, hutakiwi kusema hilo.
Unajuaje wanaridhishana vipi wakiwa wawili mpaka uanze kuongea habari za kuachana?
Msando ni kama mtu aliyepewa nyundo halafu tatizo lolote anataka kulimaliza kwa nyundo.
Hata akiwashwa pumbu atataka kujipiga nyundo.
Si kila kitu kinahitaji ushauri wa kisheria.
Zaidi, mwanasheria kutoa ushauri wa kisheria kwa mtu ambaye si mteja wako, hajakuomba ushauri na hakulipi, tena mitandaoni, ni ushamba na ulimbukeni.
Yani hapo Msando anaweza kuanzisha ugomvi mpya kati ya Lulu na mmewe, Lulu akasema kumbe wewe umefanya makusudi kujenga kabla hujanioa ili nyumba iwe kwa jina lako peke yako, tukiachana uniache bila nyumba.
Wakati inawezekana hata mume hakuwa na nia hiyo, alitaka kujenga kabla ya kuoa kama sehemu ya utamaduni wa makabila mengi wa mwanamme kuwa na kwake kabla ya kuoa.
Kuna vineno vineno vingine vidogo tu, lakini vinaonesha uwezo wa mtu wa kufikiri.
Inawezekana watu wakawa hawana mpango wa kuachana, maneno ya mtu yakapanda mbegu ya kuachana, mbegu ikastawi na kuchanua maua vizuri.
Maneno yanaumba, tujihadhari na maneno yetu.
We naye hujielewi , Majizo aliliona Hilo mapema ndo mana hakumuoa huyo kenge mapema ili amalize Kwanza mjengo wake , Msando ni wakili mbobezi we kima , alichokiongea ni kuweka attention Kwa Huyo Lulu kuwa kama amefata ndoa apambane apate vitu vya kwenye ndoa siyo abweteke akidhani vile ni vyake , kiufupi kama Lulu lengo lake ni kufata zile Mali ajiandae Kwa stress za Kylin na Mengi inatakiwa apambane now sasa kupata vya kwake ewe kilazaCouple haihitaji kukubaliwa na mtu mwingine yeyote, inatakiwa kujikubali yenyewe tu.
Hivi Lulu akimwambia Msando kwamba Msando ana wivu wa kisenge, anataka Lulu aachwe ili Msando aolewe na Majizo, atie timu kwenye "mjengo" Msando atajisikiaje?
Kuna maneno mengine mwanamme hata kama unaona hii couple haidumu, hutakiwi kusema hilo.
Unajuaje wanaridhishana vipi wakiwa wawili mpaka uanze kuongea habari za kuachana?
Msando ni kama mtu aliyepewa nyundo halafu tatizo lolote anataka kulimaliza kwa nyundo.
Hata akiwashwa pumbu atataka kujipiga nyundo.
Si kila kitu kinahitaji ushauri wa kisheria.
Zaidi, mwanasheria kutoa ushauri wa kisheria kwa mtu ambaye si mteja wako, hajakuomba ushauri na hakulipi, tena mitandaoni, ni ushamba na ulimbukeni.
Yani hapo Msando anaweza kuanzisha ugomvi mpya kati ya Lulu na mmewe, Lulu akasema kumbe wewe umefanya makusudi kujenga kabla hujanioa ili nyumba iwe kwa jina lako peke yako, tukiachana uniache bila nyumba.
Wakati inawezekana hata mume hakuwa na nia hiyo, alitaka kujenga kabla ya kuoa kama sehemu ya utamaduni wa makabila mengi wa mwanamme kuwa na kwake kabla ya kuoa.
Kuna vineno vineno vingine vidogo tu, lakini vinaonesha uwezo wa mtu wa kufikiri.
Inawezekana watu wakawa hawana mpango wa kuachana, maneno ya mtu yakapanda mbegu ya kuachana, mbegu ikastawi na kuchanua maua vizuri.
Maneno yanaumba, tujihadhari na maneno yetu.
Nitee ugali nakula kwenu,kwani hao EFM walianza na jengo au walipanga.Lazima utetee ugali
Wacha weeAisee. Umenifurahisha sana.
Kumbe tulio na ghorofa na BMW tumeyapatia maisha?
Wengine ndiyo kwanza tunaona tunaanza.
Mapenzi ni kitu kingine kabisa na ndio maana yote yana wezekana.Siku asikie majizo kaandika Mali zote apewe mkewe atasemaje?
Kwahiyo anavoonekana kazini ama mahakamani ni kama anapretend kwa ajili ya kaziThe real him is not what he is showing
He is just 10% but anaonesha yeye ni 100%...
Full of lies
Lakini mi naona kama kamuattack binti directAhaaaa labda katoa elimu wengine wajuwe
Ndo lililowakaa watu akilini kila wakimwonaKweli boss...!! Pale lakini amezingua sana as if Lulu yani hakuna alichofata zaidi ya mali pale[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
HahahaaaaMkuu kumbe unaamini kuwa maneno yanaumba ...Bhac hii inatosha kuonyesha unaamini uwepo wa Mungu ....Hapo mwanzo kulikuwako na neno Naye neno alitoka kwa Mungu Naye neno Ni Mungu ...Niishie hapa ...kuwa Umekubali kuwa Mungu yupo
Mbona hakuongelea majizo asifikirie atarithi nyumba za lulu kama anazo.Ndo lililowakaa watu akilini kila wakimwona
Yani huyu hata kumuita "wanaume kama mabinti" ni kuwadhalilisha mabinti.Msando amecomment kimbea mbea sana. Anayajua makubaliano ya wanandoa hao? Wanaume kama mabinti alioimbaga jide ndio huyu