Mwanasheria Albert Msando amvaa Lulu kisa Mali za Majizzo

Mwanasheria Albert Msando amvaa Lulu kisa Mali za Majizzo

WangeonanA wapi sasa kwamba lulu angeenda disco ambalo majizzo ni Dj na kuanza kuomba nipigie mziki flani halafu wakaanza kuzoeana wakabadilishana namba wakawa wapenzi???????Hapana

Narudia tena kwangu mimi na wewe ni kazi kudate wanawake wa hivyo sababu hatuchanganyiki nao na hili utembee nao lazima muwe na muingiliano sasa huo muingiliano ndo umesababisha majizo ampate lulu na mimi na wewe tushindwe angekuwa DJ kusingekuwa na Muingiliano....

Diamond alivyokuwa tandale akuweza ku date star yeyote ila kitendo tu cha kuwa mwanamziki na kuingiliana na mastar ndo akaanza kupata mademu mastar[emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Wataonana wapi??????Naweza kukupa billion 5 nikakwambia tafuta star utembee nae kama hujui wapi wanaenda kunywa beer na wapi wanapatikana huwezi kumpata hata mmoja.

Muingiliano ni muhimu sana ili upate muingiliano lazima kazi yako iendane nao mcheki vunja bei mda wowote anaweza kula star yule,wacheki wakina calissa sio kwamba wa hela sana ila mbona wema aliliwa???Mcheki kimarioo cha shishi kilw nikipiga picha kizuri sana sasa kimempiga shishi miaka nenda rudi mwishowe shishi kakitunuku sio kwamba kina hela sana hapana muingiliano...
Kuwapata Bongo movies huitaji muingiliano,bali unahitaji pesa basi,alafu hiyo bilion 5 mbona hela nyingi sana.

Alafu hawa wasanii mbona viwanja vyao vinajulikana,hivi viwanja vinavyo sumbua mjini ukienda utawakuta kibao.

Alafu hiyo dhana ya Majizo kampata Lulu kwa ajili ya mwingiliano ifute,Lulu alisoma Chuo cha Mwl Nyerere,sasa jiulize pamoja na kuwa na mwingiliano mkubwa na wanafunzi wenzake,mwisho wa siku Majizo ndiye aliye oa.
 
Couple haihitaji kukubaliwa na mtu mwingine yeyote, inatakiwa kujikubali yenyewe tu.

Hivi Lulu akimwambia Msando kwamba Msando ana wivu wa kisenge, anataka Lulu aachwe ili Msando aolewe na Majizo, atie timu kwenye "mjengo" Msando atajisikiaje?

Kuna maneno mengine mwanamme hata kama unaona hii couple haidumu, hutakiwi kusema hilo.

Unajuaje wanaridhishana vipi wakiwa wawili mpaka uanze kuongea habari za kuachana?

Msando ni kama mtu aliyepewa nyundo halafu tatizo lolote anataka kulimaliza kwa nyundo.

Hata akiwashwa pumbu atataka kujipiga nyundo.

Si kila kitu kinahitaji ushauri wa kisheria.

Zaidi, mwanasheria kutoa ushauri wa kisheria kwa mtu ambaye si mteja wako, hajakuomba ushauri na hakulipi, tena mitandaoni, ni ushamba na ulimbukeni.

Yani hapo Msando anaweza kuanzisha ugomvi mpya kati ya Lulu na mmewe, Lulu akasema kumbe wewe umefanya makusudi kujenga kabla hujanioa ili nyumba iwe kwa jina lako peke yako, tukiachana uniache bila nyumba.

Wakati inawezekana hata mume hakuwa na nia hiyo, alitaka kujenga kabla ya kuoa kama sehemu ya utamaduni wa makabila mengi wa mwanamme kuwa na kwake kabla ya kuoa.

Kuna vineno vineno vingine vidogo tu, lakini vinaonesha uwezo wa mtu wa kufikiri.

Inawezekana watu wakawa hawana mpango wa kuachana, maneno ya mtu yakapanda mbegu ya kuachana, mbegu ikastawi na kuchanua maua vizuri.

Maneno yanaumba, tujihadhari na maneno yetu.

Nimekupenda buree[emoji1376][emoji1376]
 
Bwana Msando ana jicho la Tatu.......hawa mabinti wanaolilia ndoa mara nyingi huwa wana malengo yao......na wamepelekea maanguko ya vijana wengi sana waliokuwa na ustawi mzuri kimaisha......na wengine wanaishi kwenye ndoa kama wako gerezani kwa hofu ya kagawana Mali.....
Mwanaume gani,learned brother gani anakalia mipasho na wanawake?
 
Kwa kweli, wanawake tujiongeze tutafute vya kwetu. Mali ya mume ina masimango na maneno makali sana. Mwanamke ukiwa na cha kwako inakupunguzia haya ma stress mengine. Chako ni chako tu hata kama ni kidogo
Kweli umeliona hill aisee
Tutafute tu vyetu
 
Kuwapata Bongo movies huitaji muingiliano,bali unahitaji pesa basi,alafu hiyo bilion 5 mbona hela nyingi sana.

Alafu hawa wasanii mbona viwanja vyao vinajulikana,hivi viwanja vinavyo sumbua mjini ukienda utawakuta kibao.

Alafu hiyo dhana ya Majizo kampata Lulu kwa ajili ya mwingiliano ifute,Lulu alisoma Chuo cha Mwl Nyerere,sasa jiulize pamoja na kuwa na mwingiliano mkubwa na wanafunzi wenzake,mwisho wa siku Majizo ndiye aliye oa.
Lulu kasoma magogoni
Na lulu alimpata majizo kwa njia ya kukuwadiwa na dadake munalove
Tena alimpokonya hamisa wakiwa wanaleta mtoto.
Ulitaka kuwapata wadada wa bongo movie unahitaji kuwadi.huyu ndo anamshawishi mwanamke mpaka anamkubali mwanaume.
 
Lulu kasoma magogoni
Na lulu alimpata majizo kwa njia ya kukuwadiwa na dadake munalove
Tena alimpokonya hamisa wakiwa wanaleta mtoto.
Ulitaka kuwapata wadada wa bongo movie unahitaji kuwadi.huyu ndo anamshawishi mwanamke mpaka anamkubali mwanaume.
Dada yangu upo deep,mpaka za chini ya kapeti unazo ....😀
 
Sasa kwa mfano imetokea, Wanandoa wamekaa kwenye ndoa kama miaka mitatu then wazazi wa mwanamke wakafariki wakamwachia nyumba ya urithi binti yao. Wakija kuachana napo mahakama ita rule out kuwa walichuma hizo mali kwenye ndoa?
 
Sasa kwa mfano imetokea, Wanandoa wamekaa kwenye ndoa kama miaka mitatu then wazazi wa mwanamke wakafariki wakamwachia nyumba ya urithi binti yao. Wakija kuachana napo mahakama ita rule out kuwa walichuma hizo mali kwenye ndoa?
Mali ya wazazi..haigawanywi

Kama nyumba angekuwa kaijenga mke itagawanywa
 
Bwana Msando ana jicho la Tatu.......hawa mabinti wanaolilia ndoa mara nyingi huwa wana malengo yao......na wamepelekea maanguko ya vijana wengi sana waliokuwa na ustawi mzuri kimaisha......na wengine wanaishi kwenye ndoa kama wako gerezani kwa hofu ya kagawana Mali.....
[emoji102][emoji848]
 
Back
Top Bottom