OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
CCM wana mbinu chafu sana za kuwatoa front liners kwenye mstari. Kinachotakiwa ni kuingia wote ulingoni, sio raia wanajificha kwenye migongo ya wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaCCM wana mbinu chafu sana za kuwatoa front liners kwenye mstari. Kinachotakiwa ni kuingia wote ulingoni, sio raia wanajificha kwenye migongo ya wengine
Wakishindwa kwa hoja hutumia nguvu !! Nimeipenda hii sentensi !Wakishindwa kwa Hoja hutumia nguvu..
Hata hivyo, mwishowe HAKI itatamalaki.
nani katukanwa ?Tatizo chadema mna mihemko sana kwani kumkosoa kiongozi ni mpaka umtukane au umkashifu ndio ujisikie?
Kwan jamaa alijipambanua kuw NI chadema [emoji613]Tatizo chadema mna mihemko sana kwani kumkosoa kiongozi ni mpaka umtukane au umkashifu ndio ujisikie?
Acha ujinga, unajua ulichoongea?
NCHI ya HOVYO SANA HII Kwa hiyo MAWAKILI WANATAKIWA WAUNGE MKONO mikataba ya HOVYO Kinyume chake Watavuliwa UWAKILI?Wakili msomi Boniface Kajunjumele Mwabukusi , ambaye amejipambanua kama mtetezi wa Rasirimali za Taifa , amepangwa kuvuliwa uwakili wake kwa maelekezo ya Wakubwa .
Tayari Mwabukusi ameshitakiwa kwenye kamati ya maadili ya mawakili , kwa tuhuma za kumshambulia Spika wa Bunge na Waziri Mkuu kwa maneno .
Mbinu hii inayotumika kwa Mwabukusi ndio iliyotumika kumvua Uwakili Fatuma Karume .
Bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna popote pale ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu
Ila kupora chaguzi za nchi sio mihemko. Huwa sielewi viongozi wanaoingia madarakani kwa njia za kishenzi, wanapata wapi nguvu za kutaka kuheshimiwa.Tatizo chadema mna mihemko sana kwani kumkosoa kiongozi ni mpaka umtukane au umkashifu ndio ujisikie?
AahaaaaaSasa ulewe wewe halafu usingizie Mwabukusi !
Kumbeee sawa bwashee😀😀😀
Yesu akasema, " Mtu hawezi kuishi kwa Mkate tu"
Ndio sababu Othman Masoud aliyesimama Upande wa Haki sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar
Huu ndio ukweli.Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.
kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.
Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.
wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Sheria ichukuwe mkondoAcha kulialia. Sheria ichukue mkondo wake.
Huu ndio ukweliAfungiwe tu..amekosa weledi kwa kutaka kiki! Kilichobaki akagombee uenyekiti wa Kijiji huko Mbeya.
Mwache avuliwe,kama ana makosa.Wakili msomi Boniface Kajunjumele Mwabukusi , ambaye amejipambanua kama mtetezi wa Rasirimali za Taifa , amepangwa kuvuliwa uwakili wake kwa maelekezo ya Wakubwa .
Tayari Mwabukusi ameshitakiwa kwenye kamati ya maadili ya mawakili , kwa tuhuma za kumshambulia Spika wa Bunge na Waziri Mkuu kwa maneno .
Mbinu hii inayotumika kwa Mwabukusi ndio iliyotumika kumvua Uwakili Fatuma Karume .
Bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna popote pale ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu