DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Mbona lissu nae Ni wakili na juzi kasema " "matopee" huyo fulushi hajamlalamikia? Au anamuogopa?Upumbavu, kwahio kama wakilin haruhusiwi kutumia haki yake ya "right to speak" kwa sababu ameinanga serikali kwa upumbavu usiomithilika juu ya mkataba wa kijinga wa bandari?