Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World

Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.

kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.

Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.

wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Waliolifikisha taifa letu kwenye mikataba mibovu lini waliwahi kushughulikiwa au mnachagua upande tu
 
Maandamano makubwa sna yaitishwe kukemaa ufedhuli wa serekali ya samia
 
Ujinga mtupu... Yeye Mwabukusi ,huo Uwakili anaendelea nao mpaka majukwaan, kwamba hatakiwi kuongea na vyombo vya Habari kwakua tu wakili?.


Akilibua Joho lake, so ni Mtanzania wa kawaida kabisaaaaa ambaye anatakiwa kutumia Utanzania wake


Suala liko wazi, lina sura ya Sheria na Siasa !!.

FELESHI AMEONYESHA NI MJINGA WAKUPINDUKIA !!
Mm nilkuwa namuheshimu kumbe Ni zimbbukuku tu
 
asubiri kesi iishe halafu ndo wamalizene na mwabukusi. Na hii kesi lazima inamharibia kitumbua Bwana Feleshi
 
Ndio shida yetu.
Ukimwambia dingi, pandisha suruali tako linaonekana, anaona umemtukana, anataka kurusha keleb,
Ukisema umpandishe surual, atasema umemshika kalio.
kumbe umemuepusha na fedheha, watu wengi wangeona kalio lake na wengine kumfikiria vibaya zaidi.

Kwanini serikali haipendi pingwa? Ukihitaji maelezo ya kina tayari unaletewa zengwe.
 
Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.

kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.

Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.

wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Ukipata mgao akili inahamia tumboni na kwenye makalio
 
Hii imewaingia vizuri wameanza kutupa miguu na mikono, kama wanajiona wako sahihi si waendelee kushindana mahakamani 🤔🤔 kwa nini wana anza kutafuta mteremko 🤔🤔 au ni muendelezo wa watu wa hovyo waliwekwa kwa mjuano kama yule profesa wa hovyo alieenda kuliaibisha taifa kwenye mahakama uzunguni kule
 
Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.

kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.

Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.

wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
tatizo tls imeshakuwa na vilima viwili ndani yake. Ina wafuasi wa ccm na vyama vya upinzani. Ni shida kubwa. Ipo siku itafika watatwangana makofi
 
Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.

kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.

Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.

wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Hilo baraza adhabu zake ni kukufuta uwakili tu?
 
😀😀😀

Yesu akasema, " Mtu hawezi kuishi kwa Mkate tu"

Ndio sababu Othman Masoud aliyesimama Upande wa Haki sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar
Kumfungia sio dawa. Dawa ni kurekebisha matatizo yaliyomo kwenye mkataba. Na siku nyingine, kwenye mikataba mikubwa. ushikaji lazima uwekwe pembeni. Sio watu wawili waojuana wanaingia mkataba mkubwa bila kufuata taratibu
 
Nilikuwa sijaona wala sijui kama kuna kitu kinaendelea ndio nimeona sasa hivi.

Huyu AG ndiye aliyempeleka Profesa Mruma kudhalilishwa na kitoto kidogo tu ulaya?
Hawa wameshaamua kukomoa. CCM haitoki madarakani labda kwa njia ya Niger!
 
Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.

Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:

1. Mwabukuzi ni mchochezi.

2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.

3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.

Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.

Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.

Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.

Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!

Wananchi hatutokubali!

Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.

View attachment 2704399
View attachment 2704644
Akili za watu wa, ccm ndio zilipoishia,
Baada ya kujibu hoja, akili zao zimedumaa kama makamasi,wanaona bora wazuie watu wasiwapinge, huwa nawaza haya makenge yakipelekwa Kenya, yakae kwa 24hrs tu, yaongoze nchi, yatakufa kwa presha
 
Back
Top Bottom