Mbona lissu nae Ni wakili na juzi kasema " "matopee" huyo fulushi hajamlalamikia? Au anamuogopa?Upumbavu, kwahio kama wakilin haruhusiwi kutumia haki yake ya "right to speak" kwa sababu ameinanga serikali kwa upumbavu usiomithilika juu ya mkataba wa kijinga wa bandari?
Aache huo ujinga, yeye na watoto wake .tutakuwa tunawapiga mawe wakipitaMbona lissu nae Ni wakili na juzi kasema " "matopee" huyo fulushi hajamlalamikia? Au anamuogopa?
Amefutiwa lini?Huyu mama tusijisumbue naye, ni kutafuta mbinu mbadala za kupata katiba mpya na tume huru.
Huyu ni dikiteita kama madikiteita waliowahi kutokea.
Unadhani atashinda hiyo "kesi"? This is a calculated move kama ya Fatma KarumeAmefutiwa lini?
Bandari tena!? Ndiyo sababu? You are just a senseless and dry/dead stodge who do not care about the communities you pretend to serve!Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.
kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.
Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.
wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Kwa Upinzani Wa Mbowe,Zito na chawa Wengine wapenda fedha.Huyu mama tusijisumbue naye, ni kutafuta mbinu mbadala za kupata katiba mpya na tume huru.
Huyu ni dikiteita kama madikiteita waliowahi kutokea.
stupid of you!Kwa Upinzani Wa Mbowe,Zito na chawa Wengine wapenda fedha.
Hakuna Katiba Mpya.
Ukilamba Asali usichokoze nyuki . Utanga'atwa na nyuki Kwa sababu ya harufu ya Asali.
Sure haya mashetani ni wakati yanaenda kuangukia pua kwa aibu! Feleshi hakuhudhuria hata kikao kilichoratify mkataba kinyume na matarajio ya kisheria. Haya yamekuwa ya kutumiwa kama majini tu. Shame on Feleshi and other dead woods of the bar!Wakili msomi Boniface Kajunjumele Mwabukusi , ambaye amejipambanua kama mtetezi wa Rasirimali za Taifa , amepangwa kuvuliwa uwakili wake kwa maelekezo ya Wakubwa .
Tayari Mwabukusi ameshitakiwa kwenye kamati ya maadili ya mawakili , kwa tuhuma za kumshambulia Spika wa Bunge na Waziri Mkuu kwa maneno .
Mbinu hii inayotumika kwa Mwabukusi ndio iliyotumika kumvua Uwakili Fatuma Karume .
Bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna popote pale ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu
Wewe bata mzinga mchafu! mdau wa majambazi, kuwadi wa mabwana wa utumwa waarabu na Fisadi mla damu za watu wakati wenu umefika kikomo!Afungiwe tu..amekosa weledi kwa kutaka kiki! Kilichobaki akagombee uenyekiti wa Kijiji huko Mbeya.
we kweli zuzu km yeye huwezi hata kuelewa kitu, Jaji alimpongeza au alimwona zuzuWakati judge wake kampongeza Mwabukusi, anataka tu kumfanikisha maana jamaa kwa ushawishi alionao ataishia kuingia kwenye siasa na kuwa mwana mageuzi mzuri atakayefanikiwa sana
Mangi matusi ya nini?Wewe bata mzinga mchafu! mdau wa majambazi, kuwadi wa mabwana wa utumwa waarabu na Fisadi mla damu za watu wakati wenu umefika kikomo!
we kweli zuzu km yeye huwezi hata kuelewa kitu, Jaji alimpongeza au alimwona zuzu
Wenye roho mbaya mko vzr felishi Ni beleshi tuMwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.
kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.
Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.
wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Ni jaji mjinga mnoElieza Feleshi! Kilaza anayejitutumua akishindwa hoja! Reference Fatma Karume na sasa Mwabukusi. Hata mkataba mbovu haoni aibu mpaka sasa! Majanga ofisini!!
Utawla wa mam huyu Ni copy ya maguffuli ila kwa mama Ni mbaya ZaidWameshindwa kujibu hoja sasa wanatarget watu wanaopinga mkataba.
Wamemuweka ndani wakili Madeleka.
Wanataka kumnyamazisha wakili Mwabukusi.
Wapo wanakula njama namna ya kumdhibiti Lissu.