Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ataka kumfutia Leseni ya Uwakili Wakili Mwabukusi aliyefungua kesi kupinga mkataba wa DP World

Mwabukusi anafahamu kuwa yeye kama wakili anapaswa kufanya kazi zake za uwakili kwa kuzingatia sheria ya mawakili pamoja na kanuni za kiwakili na endapo ataenda kinyume na sheria na taratibu zilizowekwa na chama cha mawakili basi ni haki kufutiwa leseni yake ya uwakili.

kila taaluma ina mabaraza yao ya maadili na ukikiuka utawajibishwa kwa mujibu wa sheria zao.

Mwambukuzi anaweza kuwajibishwa kwa kukiuka maadili ya taaluma na sio kwasababu anatetea kesi ya Bandari.
tusichanganye mambo kwenye hili, hata kama anatetea kesi hiyo lakini wakati huohuo anapaswa kuzingatia madili ya kazi yake.

wacha ashughulikiwe kwa mujibu wa sheria zao za uwakili
Upumbavu, kwahio kama wakilin haruhusiwi kutumia haki yake ya "right to speak" kwa sababu ameinanga serikali kwa upumbavu usiomithilika juu ya mkataba wa kijinga wa bandari?
 
Wakili msomi Boniface Kajunjumele Mwabukusi , ambaye amejipambanua kama mtetezi wa Rasirimali za Taifa , amepangwa kuvuliwa uwakili wake kwa maelekezo ya Wakubwa .

Tayari Mwabukusi ameshitakiwa kwenye kamati ya maadili ya mawakili , kwa tuhuma za kumshambulia Spika wa Bunge na Waziri Mkuu kwa maneno .

Mbinu hii inayotumika kwa Mwabukusi ndio iliyotumika kumvua Uwakili Fatuma Karume .

Bali inafahamika kote duniani kwamba hakuna popote pale ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu
Ndio dalili ya mtu kuishiwa kwa hoja huwa analazimisha ushindi kivyovyote. Sasa wanamfutia leseni kama kumkomoa ama?
Hii nchi ina mambo ya hovyo sana aisee bora kuzamia mamtoni tu. Mambo yanayoendelea ni ya kutia kinyaa sana.
 
Nadhani Serikali ingefikiri vizuri ingejiepusha na kupambana na huyu. Inatakiwa hekima ya juu kuliweka sawa jambo hili la bandari na siyo vitisho. Mbona waliyolalamikia yako wazi? Kuna ugumu gani kufanya mdahalo wa pande zinazounga mkono dhidi ya upande unaopinga.
Mbona majirani zetu tu kama Kenya ni kawaida!! Serikali ni kubwa na ina wataalam wengi, kama wana uhakika na walichoamua weka mdahalo live, wananchi tusikilize na ikiwezekana hata tuulize maswali. Hizo mbinu za kumtisha huyo wakili, sana utakuwa na madhara zaidi kwa spika.
Mdahalo live? unataka CCM waingie chini ya uvungu wa vitanda wakati wenzio ndiyo kwanza wanabeba watu kwenda kwenye mikutano yao kushawishi uwekeza ji wa bandali kwa mkataba mbovu
 
Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.

Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:

1. Mwabukuzi ni mchochezi.

2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.

3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.

Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.

Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.

Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.

Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!

Wananchi hatutokubali!

Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.
Serikali ikiendeshwa na matapeli huwa kama hivi
 
Wakati judge wake kampongeza Mwabukusi, anataka tu kumfanikisha maana jamaa kwa ushawishi alionao ataishia kuingia kwenye siasa na kuwa mwana mageuzi mzuri atakayefanikiwa sana
Mbeya washamuandalia jimbo sugu atafute sehemu nyingine ya kugombea na tulia kama anautaka uspika aende kwao tukuyu.
 
Yuleyule aliyefanya figisu hadi kumfutia Leseni mwanadada Fatuma Karume, Mwanasheria mkuu wa Serikali bwana Feleshi amempeleka Wakili msomi ndugu Mwabukusi kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili.

Katika malalamiko yake Mwanasheria wa Serikali anasema eti:

1. Mwabukuzi ni mchochezi.

2. Mwabukusi kavunja maadili ya uwakili kwa kuongea na vyombo vya habari baada ya ya kesi na kutoa matamshi ya kutaka Spika, Mbarawa na Waziri mkuu waachie ngazi.

3. Kwamba Mwabukuzi kaivunjia heshima mahakama.

Namkumbusha Mwanasheria mkuu kuwa asitafute diversion, kashindwa kuitetea serikali kwenye suala hili la mkataba sasa asianze witchhunt ili kuwatoa wananchi katika reli.

Pia Mwabukusi naye kama Mtanzania analindwa na katiba kwenye haki ya kutoa maoni. Kama hizo kanuni zenu za uwakili vinavunja haki hii ya Wakili kutoa maoni yasiyovunja sheria basi hivyo vitu na NULL and VOID ABNITIO.

Kitu kingine, Kamati ya mawakili siyo mahakama. Kama Mwabukusi kavunja sheria, Mpeleke mahakamani. Katiba inasema Mahakama ndiyo chombo cha kutafsiri sheria na kutoa haki nchini.

Kwa hiyo ndugu Feleshi, unajidhihirisha tu kuwa Umeshindwa kuitetea serikali kwenye mkataba mbovu, sasa unafanya Witchhunt. Yote hii ili mnyamazishe wananchi ili mfanikiwe azma yenu ya Kugawa Bandari zetu na kuuza nchi!

Wananchi hatutokubali!

Barua yenyewe ya mwanasheria mkuu wa serikali hii hapa.

View attachment 2704399
Ivi ingekuwa amewasema chadema so angeteuliwa nawaza tu
 
Mkiona wanasheria wanashughulikiwa basi mjue hakuna kada itakayo watetea, sio jeshi, walimu, daktari wala waganga wa jadi.

Mkiona haya yanatokea basi jueni hali itakuwa mbaya kwa raia wa kawaida anayekosoa.

Mama siku hizi anaupiga mchache sn.
 
Teeth washa muaproach felesh mnategemea afanyaje?

Kwa umri ule Ana familia, na zaidi anajiandaa kustahafu vizuri ale matunda ya kazi yake...

Akina Keller man washa mpa memo aidha amfungie mwabukusi, au apate mapunjo katika pension yake na wakienda mbali zaidi wafuke file lake.....

Kwenye hizi kazi lazima tu mpaka kufikia nafasi alinayo kuna sehemu ali mess-up so watu wanakuja na full nondo lazima usande.
 
Serikali ikiendeshwa na matapeli huwa kama hivi
Huo ni ujinga uliojazwa nao, nawe kwa kuwa ni kondoo unakubali kila unachoambiwa na mchungaji wako, hata likiwa bwabwa.

Sikushangai.
 
Ndio dalili ya mtu kuishiwa kwa hoja huwa analazimisha ushindi kivyovyote. Sasa wanamfutia leseni kama kumkomoa ama?
Hii nchi ina mambo ya hovyo sana aisee bora kuzamia mamtoni tu. Mambo yanayoendelea ni ya kutia kinyaa sana.
[emoji16] sasa ukizamia mamtoni imagine mto una kina kirefu si unapotea mazima extrovert?
 
Nchi hii inapoteza kesi nyingi huyu jamaa akiwa AG yeye yuko busy na watu wanaopinga DP world...Nyie mtakuja kuiharibu hii nchi bila kujua..msiwaone watu mafala
 
Back
Top Bottom