Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YANGA TUNA BAHATI MBAYA YA KUWA NA WATU VILAZA. SIJUI KWA NINI???????????????? HUYU NI MWANASHERIA KABISAAA? SI BORA ANGENYAMAZA TU. KWANI HAPENDI KUONEKANA ANA AKILI?
- Ataka busara itumike, kanuni zikae kando kwanza
- Adhihirisha kuwa mabaunsa walitumwa na uongozi
Tuendelee kuhifadhi post walizoweka mwanzo mwanzo, zitasaidia kujua kilichopangwa na kilichofanywa.
View attachment 3265489
Mwanasheria wa utopolo nae ni utopolo tuu.Huyu mwanasheria aliokotwa wapi?
sawa tutaonaNa ndio maana huyu mwanasheria hajawahi kushinda kesi yoyote.
Angekaa kimya tu badala yake anaongeza ushahidi wa Yanga kuingia hatiani kwa kuandaa maovu
NOTE:
Kwenye Football - Mtu akikuchezea Rafu, kisha wewe ukilipiza kwa makusudi. Wewe ulielipiza ndio unapewa RED card. (Hivyo Yanga wajiandae kwa adhabu, na kulipa gharama zote za maandalizi ya mchezo zilizovurugika)
Wale mbuzi washapelekwa mnadani na vizee vimerefuka.
- Ataka busara itumike, kanuni zikae kando kwanza
- Adhihirisha kuwa mabaunsa walitumwa na uongozi
Tuendelee kuhifadhi post walizoweka mwanzo mwanzo, zitasaidia kujua kilichopangwa na kilichofanywa.
View attachment 3265489
Tunawaambiaga mnataka kututoa meno.huyu sio mwanasheria ni mwanaHARISHA.YANGA TUNA BAHATI MBAYA YA KUWA NA WATU VILAZA. SIJUI KWA NINI???????????????? HUYU NI MWANASHERIA KABISAAA? SI BORA ANGENYAMAZA TU. KWANI HAPENDI KUONEKANA ANA AKILI?
Ni kama tu wale mabaunsa hawakuwa na alama ya Yanga,hakuna ushahidi.Kuna ushahidi wowote kuwa hiyo post iliyobandikwa hapo ni ya mwanasheria wa Yanga?