Mwanasheria wa Yanga asema waliinyima Simba haki ya kufanya mazoezi kwa kuwa nao walinyimwa mechi ya kwanza

Mwanasheria wa Yanga asema waliinyima Simba haki ya kufanya mazoezi kwa kuwa nao walinyimwa mechi ya kwanza

Tatizo kwenye soka hakuna kanuni ya mbuzi wala vizee, lakini kanuni ya mgeni kufanya mazoezi ipo. Achana na ushirikina, tazama kanuni
Nipo na wewe hujanielewa mkuu,wao walienda kukamata mbuzi wakasahau kanuni.
 
Back
Top Bottom