Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Mar 10, 2025 Thread starter #21 NAGAMAHONGA said: Ni kama tu wale mabaunsa hawakuwa na alama ya Yanga,hakuna ushahidi. Click to expand... Ushahidi ni tamko la mwanasheria wa klabu
NAGAMAHONGA said: Ni kama tu wale mabaunsa hawakuwa na alama ya Yanga,hakuna ushahidi. Click to expand... Ushahidi ni tamko la mwanasheria wa klabu
NAGAMAHONGA JF-Expert Member Joined Dec 11, 2012 Posts 11,131 Reaction score 9,301 Mar 10, 2025 #22 Lupweko said: Tatizo kwenye soka hakuna kanuni ya mbuzi wala vizee, lakini kanuni ya mgeni kufanya mazoezi ipo. Achana na ushirikina, tazama kanuni Click to expand... Nipo na wewe hujanielewa mkuu,wao walienda kukamata mbuzi wakasahau kanuni.
Lupweko said: Tatizo kwenye soka hakuna kanuni ya mbuzi wala vizee, lakini kanuni ya mgeni kufanya mazoezi ipo. Achana na ushirikina, tazama kanuni Click to expand... Nipo na wewe hujanielewa mkuu,wao walienda kukamata mbuzi wakasahau kanuni.
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 23,566 Reaction score 24,891 Mar 10, 2025 Thread starter #23 NAGAMAHONGA said: Nipo na wewe hujanielewa mkuu,wao walienda kukamata mbuzi wakasahau kanuni. Click to expand... Upo sawa kabisa
NAGAMAHONGA said: Nipo na wewe hujanielewa mkuu,wao walienda kukamata mbuzi wakasahau kanuni. Click to expand... Upo sawa kabisa
Al-mukheef JF-Expert Member Joined Feb 2, 2025 Posts 3,727 Reaction score 3,777 Mar 10, 2025 #24 Chizi Maarifa said: YANGA TUNA BAHATI MBAYA YA KUWA NA WATU VILAZA. SIJUI KWA NINI???????????????? HUYU NI MWANASHERIA KABISAAA? SI BORA ANGENYAMAZA TU. KWANI HAPENDI KUONEKANA ANA AKILI? Click to expand... Usikute ni chizi asiye na maarifa
Chizi Maarifa said: YANGA TUNA BAHATI MBAYA YA KUWA NA WATU VILAZA. SIJUI KWA NINI???????????????? HUYU NI MWANASHERIA KABISAAA? SI BORA ANGENYAMAZA TU. KWANI HAPENDI KUONEKANA ANA AKILI? Click to expand... Usikute ni chizi asiye na maarifa
Al-mukheef JF-Expert Member Joined Feb 2, 2025 Posts 3,727 Reaction score 3,777 Mar 10, 2025 #25 ephen_ said: Huyu mwanasheria aliokotwa wapi? Click to expand... Hehehe
S saigilomagema JF-Expert Member Joined Jun 5, 2015 Posts 4,683 Reaction score 7,222 Mar 10, 2025 #26 Lupweko said: Ataka busara itumike, kanuni zikae kando kwanza Adhihirisha kuwa mabaunsa walitumwa na uongozi Tuendelee kuhifadhi post walizoweka mwanzo mwanzo, zitasaidia kujua kilichopangwa na kilichofanywa. View attachment 3265489 Click to expand... Km kuna kutumia busara sheria ni ya kazi gani
Lupweko said: Ataka busara itumike, kanuni zikae kando kwanza Adhihirisha kuwa mabaunsa walitumwa na uongozi Tuendelee kuhifadhi post walizoweka mwanzo mwanzo, zitasaidia kujua kilichopangwa na kilichofanywa. View attachment 3265489 Click to expand... Km kuna kutumia busara sheria ni ya kazi gani
S Salary Slip Platinum Member Joined Apr 3, 2012 Posts 49,390 Reaction score 152,301 Mar 10, 2025 #27 Kahongwa huyo.