Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Sio kosa lao, bado wanakua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kosa lao, bado wanakua
Lini ulisikia mie kuwadi!!!Basi mfanyie mwenzio konekisheni.
[emoji3]si lazima uwe kuwadi kumsaidia mwenzio kupata hitaji la moyo wake pia ni thwawabu.Lini ulisikia mie kuwadi!!!
We hutaki thawabu? Msaidie.[emoji3]si lazima uwe kuwadi kumsaidia mwenzio kupata hitaji la moyo wake pia ni thwawabu.
[emoji3][emoji3]simujui lemutuz. Au unamuogopa lemutuz?We hutaki thawabu? Msaidie.
Ila umeambiwa mie 'namjua'.[emoji3][emoji3]simujui lemutuz. Au unamuogopa lemutuz?
Daah ama kweli wanadamu mna mambo.Ila umeambiwa mie 'namjua'.
Kweli humjui?Lemutuz
Ila umeambiwa mie 'namjua'.
Walishaachana na mkewe.
We unamjua?Daah ama kweli wanadamu mna mambo.
Kweli humjui?
Mh, kila la kheriMwanaume wa 45+ yupo kweli?
Ukweli upo hiviiiii!!
* Below 45 don't bother yourself ku pm please!
* Mkristo
* Mpole
* Relocate🙁! Yawezekana?
* Waume za watu don't bother ku pm please!
****Kuna watu under 30 yrs mnasumbua sana na pm zenu zinakera***
Acha nifanye research yangu nijifunze kitu.
Bibie unastahili fimboWe unamjua?
Hajasema anatafuta wagonjwa [emoji23] [emoji23]mm Nina 64 ni mjane naitaji wakuniuguza je nimekidhi vigezo ?
BBC wametangaza utafiti, watoto waliozaliwa na baba wa umri mkubwa ni werevu zaidi ya wenye baba vijana... habari ya mjini wazee [emoji445][emoji444] "vibabu wako juu, backed up by a valid researchKwa age hyo c ndo risk ya kupata watoto wenye congenital anomalies
Nenda hospitali, wauguzi kibao!mm Nina 64 ni mjane naitaji wakuniuguza je nimekidhi vigezo ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 45/2Hapa hapatufai kamanda..tule kona
Kweli kabisa!!! Mimi nataka mwanaume anipite kuanzia miaka mitano kwenda juu!!! Ata ikiwa gepu la miaka 30 sawa tu!!!hapo sawa! nataman niungekuwa na mume wa aina hyo kwanza hata unahis kbs nipo na mtu mzima !lazima akiongea must umskilizie labda km atakuwa hana ufahamu sana wa kimaisha!yaan hapo sawa sawaaa kbs!hawa mmepishana nao semester 2chuoni arghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hakuna heshima!
kuuguza nako ni njia ya kuonyesha Upendo nadhan hapa pia ni sahihiNenda hospitali, wauguzi kibao!
[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Unaweza kupata 40+ akuambie tuvumiliane mimi sina kitu.
inamaana Wagonjwa hatuna haki ya kupenda ?Hajasema anatafuta wagonjwa [emoji23] [emoji23]