Mwanaume 45+

Mwanaume 45+

Mwanaume wa 45+ yupo kweli?
Ukweli upo hiviiiii!!
* Below 45 don't bother yourself ku pm please!
* Mkristo
* Mpole
* Relocate🙁! Yawezekana?
* Waume za watu don't bother ku pm please!

****Kuna watu under 30 yrs mnasumbua sana na pm zenu zinakera***
Acha nifanye research yangu nijifunze kitu.
Mh, kila la kheri
 
Ukipata hao 45+ unmarried (ndoa ya aina yoyote ile) nipasiena mimi!
 
Kwa age hyo c ndo risk ya kupata watoto wenye congenital anomalies
BBC wametangaza utafiti, watoto waliozaliwa na baba wa umri mkubwa ni werevu zaidi ya wenye baba vijana... habari ya mjini wazee [emoji445][emoji444] "vibabu wako juu, backed up by a valid research
 
hapo sawa! nataman niungekuwa na mume wa aina hyo kwanza hata unahis kbs nipo na mtu mzima !lazima akiongea must umskilizie labda km atakuwa hana ufahamu sana wa kimaisha!yaan hapo sawa sawaaa kbs!hawa mmepishana nao semester 2chuoni arghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hakuna heshima!
Kweli kabisa!!! Mimi nataka mwanaume anipite kuanzia miaka mitano kwenda juu!!! Ata ikiwa gepu la miaka 30 sawa tu!!!
 
Back
Top Bottom