Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

Mimi sioni shida mtoto akipewa majina kulingana na atakayemtunza na kumlea Kwa ruhusa ya mama au Baba
Wanafanya Hivyo bila Process Yoyote? namaanisha ni Automatic tu? Sijui utaratibu wake ulivyo hivyo ndio maana nikasema kwamba wanaofahamu watatujuza.

Ila all in all, hiyo haiondoi blood father bado atabaki; Mi nadhani ukiamua kufanya hivyo ni bora ukatae na genes zake kabisa; Kukataa Majina tu huku ili hali umebeba genes za baba naona haina maana yoyote.
 

Jina ni utambulisho
Jina ni umiliki MKUU.

Jina linaweza kubadilika kama vile umiliki unavyoweza kubadilika.

Baba yako anaweza kuwa anaitwa ISSA wewe unaitwa Meshack. Ukaitwa Meshack ISSA
Lakini Baba akabadili jina kutokana na sababu mbalimbali labda kubadili dini akawa Mkristo, akaitwa Peter.
Hivyo wewe utaitwa Meshack Peter sivyo?
Hiyo ni mfano wa utambulisho kwamba jina lomebadilika kumtambulisha Baba yako kwa kuitwa majina ya kikristo baada ya kubadili Dini.

Mfano wa pili.
Jina ni UMILIKI.

Salome Daudi Nziku ndilo jina la Mchumba wako.
Wewe jina lako ni Meshack Warioba

Baada ya kufunga ndoa na Salome.
Salome ataitwa Salome Meshack Warioba hii ni Kwa sababu wewe ndiye mmiliki wa Salome Kwa muda huo. Wewe ndiye utakayemtunza na kumhudumia Kwa lolote lile katika muda wote mtakaokuwa ndani ya ndoa.

Hivyo Mkeo ataitwa Mama Warioba wakati angetakiwa aitwe Mama nziku Kwa kufuata majina ya alipotoka(ukoo wake)

Kubadilisha jina haimaanishi damu au vinasaba vinabadilika.
 
Inategemea na aina ya mwanaume; kwa mwenye mafanikio, hata asipomjali mtoto, mwanamke atalazimisha mtoto wake atumie jina la baba.
 
Sijasoma hadi mwisho, lakini naunga mkono hoja kwa asilimia 100%.
 
Nakuelewa King, Ila nataka kwanza turudi nyuma Tufahamu kazi ya Jina ni nini??? hii ndo itajibu masawali mengi; Na kazi ya Jina kulingana na waanzilishi walivyoianzisha sio kama tunavyoitumia sisi..


Tatizo Vijana wa siku hizi tunayumba. Lazima watu wacheze kulingana na Mdundo
 
Kwa hiyo kwako ubaba ni mirathi

thamani ya baba ni mali !!..
Kwa hiyo watu walio maskini ndio wanastahili hiyo adhabu kwa sababu hawana urithi wa kuwaachia watoto ??..

Kwa hiyo mtoto akang'ang'anie ubini sababu ya mirathi kana kwamba yeye hawezi kutengeneza ridhki yake mwenyewe..

Mimi baba yangu pamoja na madhaifu yake YOTE lakini kuna zile moments ambazo alijitolea sehemu ya maisha yake kwa ajili yangu. Kunilinda, kunilisha, kunivisha, kunisomesha, kunifurahisha, kuniimarisha, kunifunza, kunionesha dira na kunitengenezea msingi wa mimi kuwa mimi.
KWANGU INATOSHA

Hata leo akisema aninyime mirathi nitaumia si kwa sababu ya kukosa mali ila kujua kuwa sikuwa priority katika maisha yake. Ila kama atagawa mirathi yake katika charities sitomchukia na nitamuombea kheri
 
Waambie hao kina mama wawapoteze damu nyingine nyepesi.
Baadhi ya damu hazipotezwi mkuu!
Kumbuka mtoto hana kosa, je kwa nini atengamishwe na baba yake wa damu? Je unafahamu haki za watoto?
Wazee wakiwaita wajukuu wao, huyo mama atamleta mwenyewe hata kwa kuulizia njia.
Vijana wapewe malezi sahihi, kukamiana na kujenga chuki hakuna faida endelevu.
 
Taikon... Acha ukike kike mtoto wa kiume. Mwanaume unaongea kama mwanamke. Je! Ungekua wewe ndio umepewa mimba?
 
Sawa. Kuna ambao wameishi Kama mke na mume (bila ndoa rasmi), mpaka wakapata mtoto. Mtoto akiwa na mwaka mmoja, binti akaanza Tabia zisizofaa mpaka akalazimisha kutengana/kuachana.

Jamaa akaona asilazimishe Mambo, akaondoka akaenda kupanga sehemu nyingine. Baada ya jamaa kuondoka, binti naye kaondoka Kwa kutoroka akahamia mahali pengine, akamblock jamaa na baada ya muda akabadili kabisa namba.

Kuna kituo ambapo mtoto hushinda (day care), hivyo ili jamaa amuone mtoto analazimika kwenda pale kituoni!

Katika mazingira ya namna hii, unaendelea kumtetea mtoto WA kike?!

Baada ya kuondoka, binti hataki kabisa Baba mtoto ajue wapi wanaishi! Na Kwa kuwa amemblock na baadaye kubadili namba, jamaa Hana namna anaweza kutoa matunzo. Mbaya Zaidi jamaa anaambiwa na watu baki kwamba mama mtoto analalamika kwamba Baba mtoto hakuna anachofanya Kwa mtoto!

Hii ni kesi ya pili (inayofanana), ambazo mabinti wamenfanya nilizothibitisha.

Unaachaje kumtia mtu risasi katika Hali Kama hii!

Utaweza kusema Baba ametelekeza mtoto?

NASISITIZA TENA, KAMA HUJAOA USIJARIBU KU-BET FURAHA YAKO, au AMANI YAKO.
 
Kuna ambao wameishi Kama mke na mume (bila ndoa rasmi), mpaka wakapata mtoto. Mtoto akiwa na mwaka mmoja, binti akaanza Tabia zisizofaa mpaka akalazimisha kutengana/kuachana.

Jamaa akaona asilazimishe Mambo, akaondoka akaenda kupanga sehemu nyingine. Baada ya jamaa kuondoka, binti naye kaondoka Kwa kutoroka akahamia mahali pengine, akamblock jamaa na baada ya muda akabadili kabisa namba.

Kuna kituo ambapo mtoto hushinda (day care), hivyo ili jamaa amuone mtoto analazimika kwenda pale kituoni!

Katika mazingira ya namna hii, unaendelea kumtetea mtoto WA kike?!

Baada ya kuondoka, binti hataki kabisa Baba mtoto ajue wapi wanaishi! Na Kwa kuwa amemblock na baadaye kubadili namba, jamaa Hana namna anaweza kutoa matunzo. Mbaya Zaidi jamaa anaambiwa na watu baki kwamba mama mtoto analalamika kwamba Baba mtoto hakuna anachofanya Kwa mtoto!

Hii ni kesi ya pili (inayofanana), ambazo mabinti wamenfanya nilizothibitisha.

Unaachaje kumtia mtu risasi katika Hali Kama hii!

Utaweza kusema Baba ametelekeza mtoto?

NASISITIZA TENA, KAMA HUJAOA USIJARIBU KU-BET FURAHA YAKO, au AMANI YAKO, usijaribu kujipa presha na hawa wanawake ambao nusu ni binadamu, nusu shetani. Mwanamke ambaye ameolewa au anaishi na mtu wake lakini anatongozwa, anakubali na anakwenda kupanua miguu huku akifahamu kwamba ameolewa!
 
Kubadilisha Jina la Ukoo la mtoto hakubadilishi ukweli kuwa mtoto ni wa mwanaume aliemwaga baoo...!! Kuja mtoto wa mjomba wangu baada ya mjomba kufariki aliletwa kafanan sana na watoto wengine lakini anatumia jina la Ukoo mwingine hiyo sio sababu hata kidogo ya kumkataaa yule mtoto so ukoo ulimkubali vizuri tuu.

Case nyingine me mzee anaa mtoto wa nje ila hatumii jina la mzee ila namini ipo siku atakuja kudai chake pale na ataletwa tu hata na wazeee.
 

Mpaka anakuambia hivyo ni kwamba umeshindwa kuwa Mwanaume.

Unacheka CHEKA tuu!


Kuna namna tatu za kuwa Mwanaume.
1. Kutumia Akili
2. Kutumia nguvu
3. Kutumia Akili na nguvu.

Kama Kwa mwanamke hajawahi kuona moja Kati ya hivyo kutoka kwako anakuchukulia Kama jike lenzake.

Hakuna mwanamke mwenye uwezo wa kumtingisha mwanaume aliyekamilika.

Ati unapigwa marufuku😀😀😀 huyo wakukupiga marufuku kakudharau,

Jifunze kutenda Kama Mwanaume. Mwanamke Hana ubavu wa kuongea upuuzi wa hivyo Kama hajakudharau, na anajua hutamfanya lolote.
 


Umesema ukweli jina halibadili asili Ila linabadili umiliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…