Mwanaume akizama kwenye dimbwi la mapenzi anakuwa na tabia gani?

Akili zenu mnazijua wenyewe, aisee[emoji23][emoji23][emoji23]. Kwaiyo huoni logical error kwenye mawazo yako[emoji23][emoji23][emoji23]
Usilolijua mapenzi hayana formula unaweza kujiona unaakili nyingi lakn napo mapenzi yakakutesa mapenzi yanawatesa Mpk mabilionea sembuse mie ??? Kaa ukijua mapenzi AYANA formula ndugu yangu pia mwanaume anaweza kumzalisha MTU na kuishi nae sogoe tuishi na asimpende akaja kuona mwingine ayo mambo yapo sana mbona ao sogea tuishi waga wanaachwa muacho mbaya anaolewa mwingine ambae ajawai ata kuishi nae Kwaio wanaume hawatabiriki my wangu
 
Anakudanganya huyo aisee
 
Mwanaume anaekupenda kwa dhati siku zote anakuwa haeleweki.. ukiona umemuelewa mwanaume wako jua hayo mahusiano yenu yatavunjika muda si mrefu
Ha ha ha...[emoji16]
 
Kw taarifa Yako mapenzi AYANA formula kijana kuzaa na MTU na kuishi nae sogea tuishi usizani ndo atakua mkewe mwanaume anaweza kumzalisha MTU na kuishi nae sogea tukae miaka Kumi na Bado hamuoi Yani kuzaa na MTU na kuishi nae sio kumpenda acha kukariri wewe wangap wamezaa na wameoshi na wanaume lakn mwanaume anaenda kuona mdada mwingine kabisa tofauti na uyo Alie zaa Nae ayo mambo yapo mbona kila mtu ma Bahar yake kuzaa na MTU sio kwamba ndo atakuuoa Apana wacha kukariri mwanaume anaeeza kuzaa na mwanamke na asimuoe na mapenzi yake yanakua kw mtu mwingine na kuusu ngonjera zake nasikiliza sana TU Mpk ngoma za masikio zipasukiane my waangu
 
Ukipata Mwanaume asiye na tamaa atakua Ni shoga uyo, kimbia nduki[emoji4]
 
Eeh dada nenda na wewe kajaribu bahati yako usije ukaona nakuzibia bure.

Nimesoma nimeishia humo nilipo-bold sijaimaliza ya nini mwisho wa siku tutukanane wakati umeomba tu ushauri?
 
Hayo majina ya my waachie wazungu, kuna dada na kaka. Kwahiyo kama hayana formula ndio ukimbilie kule ambapo hatari itokapo. Duh! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mmesomeshwa lakini bado hamtaki kuelimika. Sasa kama na wewe akakuchagua akamuacha wa kwanza ila akakuona nawewe pia hakupendi vicious cycle iendelee tuπŸ˜‚πŸ˜‚. Tutazalisha kizazi kikubwa cha uhuni na wanawake empowerement kuwa a total failure. Reason sister,aiseeπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Eeh dada nenda na wewe kajaribu bahati yako usije ukaona nakuzibia bure.

Nimesoma nimeishia humo nilipo-bold sijaimaliza ya nini mwisho wa siku tutukanane wakati umeomba tu ushauri?
Ndo mana waswahili wanasema uslilie uzuri lilia bahat my wangu kuzaa na MTU sio kuolewa watu wanazalishwa na wanaachwa anaolewa mwingine kabisa Kwaio kama mungu kanipangia nitaolewa na kama sio rizki yangu basi Asante kw ushauri
 
Uwiii sio yule aliyekuwaga Songea teaching college Sasa kahamia Mbeya? Ni muongo yule kaka anaweza kukufanya ukahiona unapendwaa Dunia nzima upo wewe tu kumbe kawapanga kila mkoa.Kimbia
Ulipigwa na kitu kizito[emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…