Kw taarifa Yako mapenzi AYANA formula kijana kuzaa na MTU na kuishi nae sogea tuishi usizani ndo atakua mkewe mwanaume anaweza kumzalisha MTU na kuishi nae sogea tukae miaka Kumi na Bado hamuoi Yani kuzaa na MTU na kuishi nae sio kumpenda acha kukariri wewe wangap wamezaa na wameoshi na wanaume lakn mwanaume anaenda kuona mdada mwingine kabisa tofauti na uyo Alie zaa Nae ayo mambo yapo mbona kila mtu ma Bahar yake kuzaa na MTU sio kwamba ndo atakuuoa Apana wacha kukariri mwanaume anaeeza kuzaa na mwanamke na asimuoe na mapenzi yake yanakua kw mtu mwingine na kuusu ngonjera zake nasikiliza sana TU Mpk ngoma za masikio zipasukiane my waangu
Wewe umeshampenda huyo kaka ndio maana umeleta hiyo mada
Kama ungekuwa hujampenda hata usingehangaika nae wangapi wamekutongoza hujaleta mada zAo
Kama hujampenDa husingesema MPenzi hayana formulA hapo bi dada ushanasa
Kingine usikariri et kwamba sogea tuishi wote huwa hawaolewi
Ushauri wangu achana na huyo mwanaume hupendwiiiiii
Narudia tena hakupendiiiii hupendwiiii
Kwanza angekuwa anakupenda angekuwa kamuacha huyo mwanamke anaeishii nae et miaka miwili anakutongoza na bado anaishi na huyo mdada mpk wamezaaa
Wewe dada amka kwenye huo usingiziiiii unapotezaa muda wako
Mwanaume mwenye nia na wewe hata kama angekuwa anaishi na mwanamke wa sogea tuishii usingejuaaa
Huyo hakupendii
Ubaya ni kuwa unajua kabisa anaishi na mwanamke na wamezaa mtoto bado unajiulizauliza et ananipendaaa una wazimu nini???
Huyo kijana unampendaa ndio maana umeleta story yake narudiaa tena hakupendiii anataka akulale akuachee na hata kama hampendii huyo anaeishii nae usifikiri akimuacha atakuoaaa labda urogeeeeee
Bibieeee mara 10000 ungekuwa hujui kama ana mwanamke wanaishii wotee
But umejuaaa achanaa na huyo mwanaumeee wa watuu