Mwanaume ambaye siwezi kuwa na mahusiano naye ni wa aina hii...

Kama ulisha wahi kudate na polisi wazee wa kupiga na kuamsha,mkuu nakupa hongera kwa hatua yako ya kujiweka mbali na hao viumbe hatari kwa jinsia ya kike.

imesomeka!!
 
Hata Wao Hawawez Kudate Nawew Mchagua Mb😵
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] ni mawazo yako ila mi sipo huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiapo alacho mwanamke ni sawa na kiapo alacho mwanasiasa. Najua ukweli ni mchungu ila mnielewe hivyo.
 
Asanty

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…