[emoji16] [emoji16] [emoji16]Naamini anasoma comment za wadau, aliandika akiwa na zile story za kupeana na mashoga zake, ohhooo unajuwa madereva bwana wako hivi na hivi, ameishia kusadiki kama imani. Asikumbuke Mzee JK alituonya ya kuwa za kupewa na wewe changanya na zako.
Ama la sivyo labda ni mhanga wa mahusiano toka kundi mojawapo kati aliyoyataja ama yote sasa amekuja kutoa mrejesho indirectly
Mbona masharti sasa unataka wenye vyuraNitafutie wateja... Nabeba wenye chura tu... na ukibinuka hudaiwi nauli.
Mbona masharti sasa unataka wenye vyura
Wengine tunaona,kuna mabasi fulani huwa napanda,sasa huwa naangalia madriva na makonda wanachokifanya,mfano anambeba mwanamke kutoka kitua fulani wanaenda nae wakifika kituo fulani wanamshusha na driva anashuka,driva mwingine anapanda tunaendelea na safari,Siku nyingine anashuka na mwanamke mwingine,nakuwa najiuliza wanaolewa na hawa hamna kitu hapaHebu funguka vizuri zaidi, kati ya hayo makundi kuna ambalo liliwahi kukuumiza, na wangapi wa aina hiyo, maana mmoja haitoshi ku generalize kundi zima. Mfono, ulikuwa na askari ama dreva mmoja then mka brake kwa matatizo, haimanishi kuwa wote wapo hivyo
Ama uko na Mwl na mambo yako moto kinoma, haimanishi kuwa Walimu wote wako hivyo
cc cutelove
baasi na nikikubeba ukabinuka sikudai.
Bora wa daladala,wa mikoani au masafa marefu,madudu wanayoyafanya hapo njiani usiombeNa tulio olewa na madreva daladala nao je kuamka saa 10 lala yao saa6-7 , nao kundi gani cutelove!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wa daladala,wa mikoani au masafa marefu,madudu wanayoyafanya hapo njiani usiombeNa tulio olewa na madreva daladala nao je kuamka saa 10 lala yao saa6-7 , nao kundi gani cutelove!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta Malaika u date nae yeye hana hitilafu hizo1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukibinuka hata Makarao hawatusimamishi.Na kwa nini nibinuke jamani unataka kuona nini
Kumbe madaktari, manager, walimu, hawachepuki nilikuwa sijui, ila kwenye fundi sijui ni fundi yupi!Hakuna mwanaume ambaye hachepuki,labda awe mlokole kweli,hata walokole wenyewe wanaanguka Mara moja moja sembuse mumeo huyo hata kansani huwa haendi,mwanaume bila hofu ya Mungu atachepuka tu eidha awe mwalimu,Fundi,manager au daktari
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...weraa weraaaa...simo kwenye list 😛😛1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii dunia unaweza kuhisi unaonewa kumbe unajioneaItakuwa hajajua nini maana ya kupenda.
Yaani kwenye kupendana kwa dhati kila kitu kinafunikwa inabaki mapenzi tu.