Bora wa daladala,wa mikoani au masafa marefu,madudu wanayoyafanya hapo njiani usiombeNa tulio olewa na madreva daladala nao je kuamka saa 10 lala yao saa6-7 , nao kundi gani cutelove!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...weraa weraaaa...simo kwenye list 😛😛1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke
2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary
3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa
4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi
5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali nimelijua hilo leo hii!Bora wa daladala,wa mikoani au masafa marefu,madudu wanayoyafanya hapo njiani usiombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tunaona,kuna mabasi fulani huwa napanda,sasa huwa naangalia madriva na makonda wanachokifanya,mfano anambeba mwanamke kutoka kitua fulani wanaenda nae wakifika kituo fulani wanamshusha na driva anashuka,driva mwingine anapanda tunaendelea na safari,Siku nyingine anashuka na mwanamke mwingine,nakuwa najiuliza wanaolewa na hawa hamna kitu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwalimu cutelove...
Mi mwalimu cutelove...
Wengine tunaona,kuna mabasi fulani huwa napanda,sasa huwa naangalia madriva na makonda wanachokifanya,mfano anambeba mwanamke kutoka kitua fulani wanaenda nae wakifika kituo fulani wanamshusha na driva anashuka,driva mwingine anapanda tunaendelea na safari,Siku nyingine anashuka na mwanamke mwingine,nakuwa najiuliza wanaolewa na hawa hamna kitu hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Chunguza,utakubali na ninachokisema au tembelea miji ambayo inapaki malori ya masafa kama Kahama,halafu angalia madriva wanayoyafanyaBado sample hiyo ni ndogo sana kutoa conclusion nzito namna hiyo
Tabia ya mtu haiwezi kufutikaBora wa daladala,wa mikoani au masafa marefu,madudu wanayoyafanya hapo njiani usiombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikatai ila wapo ambao kuchepuka haukuepukiki na idadi ya anaochepuka nao si habaHakuna mwanaume ambaye hachepuki,labda awe mlokole kweli,hata walokole wenyewe wanaanguka Mara moja moja sembuse mumeo huyo hata kansani huwa haendi,mwanaume bila hofu ya Mungu atachepuka tu eidha awe mwalimu,Fundi,manager au daktari
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16] [emoji16] [emoji16]Yaan watu wakishajua wamebandika makande bwana. Wacha tukupotezee mda yaivu ufakamie
Sent using Jamii Forums mobile app