Mwanaume ambaye siwezi kuwa na mahusiano naye ni wa aina hii...

Mwanaume ambaye siwezi kuwa na mahusiano naye ni wa aina hii...

1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke

2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary

3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa

4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi

5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni aina za wanaume au kazi?
 
Cute mwanaume akiamua kuchepuka atachepuka tu hata,huyo unayemtaka wewe anaweza akaja akachepuka na house girl wako

1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke

2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary

3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa

4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi

5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Penzi la masharti sio penzi kamili. Waweza mpata mtu mwenye kazi unayoitaka lakini bado akawa navituko na vitimbi kuliko hao unaowakataa kwa vigezo vya kazi zao, nadhani mleta uzi akae atafakari zaidi kuhusu hilo
Mimi siongelei tabia ya mtu mmoja ila wengi wanaofanya hizo kazi za boda boda na madriva ndo wanaongoza kuchepuka na nadhani hii inasababishwa na kazi yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi siongelei tabia ya mtu mmoja ila wengi wanaofanya hizo kazi za boda boda na madriva ndo wanaongoza kuchepuka na nadhani hii inasababishwa na kazi yao

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ni tabia ya mtu cutelove. Kuna watu pia wanaamini wauguzi wanaongoza kwa uchepukaji lakini ukichunguza utakuta nurse wa kike mwenye tabia hiyo yupo hivyo tangia anasoma na wala sio mazingira ya kazi yake ndio yanayombadilisha
 
Penzi la masharti sio penzi kamili. Waweza mpata mtu mwenye kazi unayoitaka lakini bado akawa navituko na vitimbi kuliko hao unaowakataa kwa vigezo vya kazi zao, nadhani mleta uzi akae atafakari zaidi kuhusu hilo
Hakika Sesten. Na kila mmoja ana tabia yake ambayo hata awe na kazi gani haiwezi futika.

Nakazia mleta uzi akatafakari zaidi.
 
1,Driver,hasa wa mabasi ya mikoani au malori ya mizigo ya masafa marefu kutoka nchi moja kwenda nyingine,,hapa kama una roho ya chuma ukubali kuwa mke wa 100 maana kila kituo,kila mkoa,kila mji ana mwanamke

2,driva tax na boda boda,hawa kama una moyo wa chuma ukubali kushare mapenzi na watoto wadogo,vibinti vya chipsi na secondary

3,Askari polisi ,hawa wanapenda wanawake wa kila aina,halafu hawana huruma,kumuumiza mwanamke ni jambo la kawaida.,halafu mkizenguana vitisho na hata mpenzi wako mpya anatishiwa

4,mafundi garage, hawa ni waongo,ukisha kuwa nae atakutangaza kwa kila mtu anayefanya kazi nae,na anapenda mwanamke awe anamfuata fuata kazini kwake kuomba matumizi

5,Wahudumu wa afya,madaktari na manesi nk,hawa hawana muda wa kuwaza mahusiano yenu,kila muda utamkuta yuko busy na vitu vidogo vidogo na akipumzika hataki bugudha yoyote,anataka apumzike mwenyewe



Sent using Jamii Forums mobile app
wewe unakazi/fani gani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom