Mwanaume amekutwa live ana cheat na bado haja tusi nyumbani siku ya tatu

Mwanaume amekutwa live ana cheat na bado haja tusi nyumbani siku ya tatu

Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.

Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
Yeeeeeas [emoji3059].... Mwanaume hata ukamatwe right handed hutakiwi kukubali kuwa ni wewe huko ni kuonyesha udhaifu.....


Kataa kauli za kindugai
 
Lakini hii ni dharau, unaondoka na mchepuko unamuacha mke wako bar.
Mwanamke kuanza kwenda bar hata kama na Kaka yake wakati mume wake hayupo ni dalili hapo hakuna Mwanamke
 
Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.

Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
Dada kuwa na subiri nguo alizoendanazo za kubadilisha zikiisha atarudi nyumbani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Marafiki huwa wanaharibu sana ndoa; ila kwa wanaume wanaojielewa watajitahidi kuchepuka na watu wa mbali ili asiharibu ndoa yake. Huwezi kuchoma moto nyumba uliyojenga kwa tabu, huku huna uhakika wa kujenga nyumba nyingine.
 
Sikutegemea wee ndio umeandika kichwa Cha hbr kibovu hvyo
 
Haya mambo unaaga unasafir na bado unazurula mjini hii confidence unaitoa wap sema nn lijend katisha Jasiri sanaa
 
Huyo jamaa ni boya sana.Hajafuzu kuitwa senior mchepukaji.Anachepukia sebuleni kwake?Anyang'anywe kadi ya ubaharia.
 
Back
Top Bottom