Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umeandika vibaya dada leo au unaandika uku unapigwa pumbu?
Yeeeeeas [emoji3059].... Mwanaume hata ukamatwe right handed hutakiwi kukubali kuwa ni wewe huko ni kuonyesha udhaifu.....Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.
Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
Dharau sana... Ila huyo mwanamke mungu amtie nguvu!! Inasikitisha sana.Lakini hii ni dharau, unaondoka na mchepuko unamuacha mke wako bar.
Mwanamke kuanza kwenda bar hata kama na Kaka yake wakati mume wake hayupo ni dalili hapo hakuna MwanamkeLakini hii ni dharau, unaondoka na mchepuko unamuacha mke wako bar.
Sasa kama ni mgegedo kwani sii anapata ama shida iko wapi jamaniNinahisi hili la kwanza ndiyo jibu maana wengine hawana shida ya hela za matumizi
Dada kuwa na subiri nguo alizoendanazo za kubadilisha zikiisha atarudi nyumbani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.
Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
Alikujaje hapo bar, itawezekanaje kaka akulete bar.Hapo kila mmoja alikuwa na mpango wake wa kando.Lakini hii ni dharau, unaondoka na mchepuko unamuacha mke wako bar.
Ukweli wote anajua huyo mume wake kuwa huyo aliyekuwanaye ni kaka au sio kaka.Inawezekana jamaa huwa hamtoi kabisa mke wake sasa kaka ameamua kumtoa dada uchafu wa macho