Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poleJamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.
Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.
Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
halafu.mwanaume wa hivi ukimroga unamrogo hiyo dushe inayompa kiburi isinyanyuke kwenda popote......Ndiyo maana mnalogwa
hii picha nimeipenda....Marufuku mwanaume kukiri Wala kuomba msamaha, kwa kosa la la kucheat.
(Hata ukutwe katikati ya mapaja)
Ukirudi unapaswa kukausha TU stori aanzishe yeye[emoji4]View attachment 2083649
Pole sana.Mungu atusaidie.Ila umesema alipelekwa na kaka kula ,yama choma wakati mwenyenyumba amesafiri.kaka kuna alilokuwa analijua labdaJamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.
Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
mwanaume anajua amefanya kosa ila akirudi haraka hakutakuwa na suluhu maana mwanamke ana hasira sana. Mwanaume akichelewa kurudi mwanamke hasira zitapungua atafikiria namna ya kuokoa ndoa yake.Ndiyo maana mnalogwa
Ngoja nimwambie aitafsiri kwa kimombo. Unajua bibi yako kazaliwa Jamaica. Akikosa bangi kiswahili kinamkataa...Babu Asprin kila siku hua nnakukataza usiwe unaweka K-vant kwenye glass ya maji, haya sasa bibi kakurupuka huko na kiu yake ameona glass imejaa mpk pomoni ameigida yote akidhani ni maji ya baridi.
Haya nitafsirie hii lugha ya kilevi aliyoandika bibi, maana mimi nimetoka kapa.
[emoji23][emoji23][emoji23] babu majibu yako hua yananifurahisha sana, ndio maana mjukuu wako hua siachi kuuliza maswali na kutaka ushauri kutoka kwako.Ngoja nimwambie aitafsiri kwa kimombo. Unajua bibi yako kazaliwa Jamaica. Akikosa bangi kiswahili kinamkataa...
Siku moja uje Bunju nikupe K Vant na kitimoto pori. Kitimoto pori sio najisi kabisa[emoji23][emoji23][emoji23] babu majibu yako hua yananifurahisha sana, ndio maana mjukuu wako hua siachi kuuliza maswali na kutaka ushauri kutoka kwako.
Babu unazeeka na busara zako.
HahahaJamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.
Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
Siku moja uje Bunju nikupe K Vant na kitimoto pori. Kitimoto pori sio najisi kabisa