Mwanaume amekutwa live ana cheat na bado haja tusi nyumbani siku ya tatu

Mwanaume amekutwa live ana cheat na bado haja tusi nyumbani siku ya tatu

Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.

Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
pole
kubali tu uwe bi mkubwa, shida ipo wapi
 
Marufuku mwanaume kukiri Wala kuomba msamaha, kwa kosa la la kucheat.
(Hata ukutwe katikati ya mapaja)

Ukirudi unapaswa kukausha TU stori aanzishe yeye[emoji4]
tapatalk_1586311018969.jpg
 
Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.

Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.

Give me a better definition ya mwanaume Rijali, Mwenye msimamo, Na anayejitambua? "HIM"
 
Huyo mwanamke anazurura bar na shemeji yake kufanya nn?
Ngoja arudi kutoka mkoani tugeuze ubao wa matokeo...inaonekana huyo mwanamke hatulii kabisa nyumbani mmewe akiwa hayupo.
 
Ndo uneamua kuja kinianika hapa shemeji ,poa tutakutana ngoja nitoke kwa mchepuko wangu huku kwanza.
 
halafu wakiitwa mbwa wanaanzisha thread


na wake zao wakitafunwa wanakimbilia mapanga!!!!

na akirudi nyumbani atataka asamehewe yeye ni mwanaume[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.

Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
Pole sana.Mungu atusaidie.Ila umesema alipelekwa na kaka kula ,yama choma wakati mwenyenyumba amesafiri.kaka kuna alilokuwa analijua labda
 
Babu Asprin kila siku hua nnakukataza usiwe unaweka K-vant kwenye glass ya maji, haya sasa bibi kakurupuka huko na kiu yake ameona glass imejaa mpk pomoni ameigida yote akidhani ni maji ya baridi.
Haya nitafsirie hii lugha ya kilevi aliyoandika bibi, maana mimi nimetoka kapa.
 
Babu Asprin kila siku hua nnakukataza usiwe unaweka K-vant kwenye glass ya maji, haya sasa bibi kakurupuka huko na kiu yake ameona glass imejaa mpk pomoni ameigida yote akidhani ni maji ya baridi.
Haya nitafsirie hii lugha ya kilevi aliyoandika bibi, maana mimi nimetoka kapa.
Ngoja nimwambie aitafsiri kwa kimombo. Unajua bibi yako kazaliwa Jamaica. Akikosa bangi kiswahili kinamkataa...
 
Ngoja nimwambie aitafsiri kwa kimombo. Unajua bibi yako kazaliwa Jamaica. Akikosa bangi kiswahili kinamkataa...
[emoji23][emoji23][emoji23] babu majibu yako hua yananifurahisha sana, ndio maana mjukuu wako hua siachi kuuliza maswali na kutaka ushauri kutoka kwako.
Babu unazeeka na busara zako.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] babu majibu yako hua yananifurahisha sana, ndio maana mjukuu wako hua siachi kuuliza maswali na kutaka ushauri kutoka kwako.
Babu unazeeka na busara zako.
Siku moja uje Bunju nikupe K Vant na kitimoto pori. Kitimoto pori sio najisi kabisa
 
Inaonekana jamaa anamheshimu na bado anampenda mke wake ndio maana aliona amdanganye ili asimshtukie... Kwa alichokifanya nadhani ni somo zuri kwa mke wake na cha umbea kaka mtu! Mwanaume hachunguzwi
 
Jamaa alianza mahusiano na rafiki wa mke wake. Baada ya kuaga anasafiri, kaka wa mke aliamua kumpeleka dada yake kula nyama choma. Huko ndiyo wapenzi wapya wa siri waliamua kwenda kula nyama.

Baada ya kufumwa live akiwa kwanza Dar badala ya mkoani alikoaga anakwenda bado aliondoka na mchepuko na kumuacha mkewe pale.
Hahaha
 
Back
Top Bottom