Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,957
- 7,505
Nielekeze walipo niwafuate Mwenyewe wanitekeUtakutana nao tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nielekeze walipo niwafuate Mwenyewe wanitekeUtakutana nao tu
kama umesha-lijua hilo,, nini kinacho-kuchanganya tena??Tatizo wanakuwa hawana huruma
Mpaka wakupende wenyeweNielekeze walipo niwafuate Mwenyewe waniteke
Hebu nielekeze hawa wanaologa na kuweka wanaume kwenye chupa wanapatikana wapi..... Liwalo na liweSijui uko bia ya ngapi sasahivi
Ooooh basi hapa nshafeli tayari- ngoja nipambane na hali yangu......au sijui nikajiloge Mwenyewe 😅😅😅Mpaka wakupende wenyewe
Nataka nisihurumiwe nipotezwe mazima na mtoto wa mama mkwe Mimi 😅😅😅Tatizo wanakuwa hawana huruma
Sasa bila kulogwa unadhani wata oa shida inakuja pale unapopanga ule na usipe na ndo hapo mnapokamatika ila ukiwa na malengo mazuri ya kuoa utapata ambao si washirikina kwamaana utakuwa makiniMkuu sio kila mtu wakulogwa asilmia 60 ya wanaume waliopo kwnye ndoa wamelogwa dawa zikiisha ndoa chali
Pamoja na hayo ni utapeli tu mkuu , nitaoa nikifika miaka 90Sasa bila kulogwa unadhani wata oa shida inakuja pale unapopanga ule na usipe na ndo hapo mnapokamatika ila ukiwa na malengo mazuri ya kuoa utapata ambao si washirikina kwamaana utakuwa makini
Siyo kwamba anafundisha alishajonea yote hayo maanaMkuu mbona umeamua kuwafundisha uchawi dada zetu was hapa JF?
Na hakuna uchawi unaofanya kazi vizuri na haraka kama wa mapenziWanaume tunarogwa sana na hawa viumbe
Kweli kabisa yaani fasta fasta kidume anakuwa hajielewi. Usiombe ujikute katika hali hiyoNa hakuna uchawi unaofanya kazi vizuri na haraka kama wa mapenzi
Mi waniroge sekta nyingine zote ila sio mapenzi, i hate to be zobaKweli kabisa yaani fasta fasta kidume anakuwa hajielewi. Usiombe ujikute katika hali hiyo
Dunia ni uwanja wa mapambano; unakuta huyu anataka kuwa na yule, na yule anataka kuwa na huyu.
Sasa kumekuwa na mbinu kwa baadhi ya wanawake tunaotembea nao; siku ya kufanya tendo la ndoa, watakuja na kitambaa, kinaweza kuwa cha taulo au cha aina yoyote ile.
Baada ya kufikia mshindo, atachukua kitambaa kile alichokuja nacho na ataanza kukufuta, huku wewe ukihisi ni sehemu ya mahaba.
Baada ya kuagana, atachukua kitambaa hicho na kukipeleka kwa wananzengo, na baada ya hapo wewe unakuwa unamsikiliza yeye tu, na mkizinguana anaweza kusababisha mashine yako isisimame au isiweze ku-perform mechi za nje.
Lakini yote haya yanatokea, hasa pale upande mmoja utakapopenda zaidi kuliko upande mwingine.
Muhimu ni kuwa makini na uliyenaye.
Itategemea na hali utakayokuwa nayoNitajifuta tu mwenyewe kama mambo ndio haya