Mwanaume anavyotekwa kwa nguvu za mahaba na giza

Mwanaume anavyotekwa kwa nguvu za mahaba na giza

Mkuu sio kila mtu wakulogwa asilmia 60 ya wanaume waliopo kwnye ndoa wamelogwa dawa zikiisha ndoa chali
Sasa bila kulogwa unadhani wata oa shida inakuja pale unapopanga ule na usipe na ndo hapo mnapokamatika ila ukiwa na malengo mazuri ya kuoa utapata ambao si washirikina kwamaana utakuwa makini
 
Sasa bila kulogwa unadhani wata oa shida inakuja pale unapopanga ule na usipe na ndo hapo mnapokamatika ila ukiwa na malengo mazuri ya kuoa utapata ambao si washirikina kwamaana utakuwa makini
Pamoja na hayo ni utapeli tu mkuu , nitaoa nikifika miaka 90
 
Dunia ni uwanja wa mapambano; unakuta huyu anataka kuwa na yule, na yule anataka kuwa na huyu.

Sasa kumekuwa na mbinu kwa baadhi ya wanawake tunaotembea nao; siku ya kufanya tendo la ndoa, watakuja na kitambaa, kinaweza kuwa cha taulo au cha aina yoyote ile.

Baada ya kufikia mshindo, atachukua kitambaa kile alichokuja nacho na ataanza kukufuta, huku wewe ukihisi ni sehemu ya mahaba.

Baada ya kuagana, atachukua kitambaa hicho na kukipeleka kwa wananzengo, na baada ya hapo wewe unakuwa unamsikiliza yeye tu, na mkizinguana anaweza kusababisha mashine yako isisimame au isiweze ku-perform mechi za nje.

Lakini yote haya yanatokea, hasa pale upande mmoja utakapopenda zaidi kuliko upande mwingine.

Muhimu ni kuwa makini na uliyenaye.​

.....duuh umenitisha sana mkuu, ni kweli unadhani unaoneshwa mapenzi kumbe unazindikwa.....may God be with us.....
 
Sio hivyo tu kunaviumbe vina mdomo kwenye mbususu vitanasa na kuzitunza mbegu kuwa makini na mdada anayemeza mbegu huenda ukawa ng'ombe kazi yako nikutoa chakula kwao
 
Back
Top Bottom