Mwanaume anavyotekwa kwa nguvu za mahaba na giza

Mwanaume anavyotekwa kwa nguvu za mahaba na giza

Cha msingi ni kutulia na wake zenu. Kama hujaoa, jizuie hadi utakapofunga ndoa yako.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
Kwahiyo Yesu ndio bwana uliyeamua kutulia naye hadi siku utakayofunga naye ndoa.

Hebu tutoleeni mahubiri yenu hapa wanafiki nyie wainamisha vichwa wafunga mikono.
 
Dunia ni uwanja wa mapambano; unakuta huyu anataka kuwa na yule, na yule anataka kuwa na huyu.

Sasa kumekuwa na mbinu kwa baadhi ya wanawake tunaotembea nao; siku ya kufanya tendo la ndoa, watakuja na kitambaa, kinaweza kuwa cha taulo au cha aina yoyote ile.

Baada ya kufikia mshindo, atachukua kitambaa kile alichokuja nacho na ataanza kukufuta, huku wewe ukihisi ni sehemu ya mahaba.

Baada ya kuagana, atachukua kitambaa hicho na kukipeleka kwa wananzengo, na baada ya hapo wewe unakuwa unamsikiliza yeye tu, na mkizinguana anaweza kusababisha mashine yako isisimame au isiweze ku-perform mechi za nje.

Lakini yote haya yanatokea, hasa pale upande mmoja utakapopenda zaidi kuliko upande mwingine.

Muhimu ni kuwa makini na uliyenaye.
Hii nahisi kweli japo naendelea kuichunguza, kuna mwanamke tangu niwe naye siwezi tongoza mwanamke mwingine nikafanikiwa kumchakata mbususu yani lazima kuwe na kizuizi kama sio yupo period basi itatokea maluweluwe sitamla, Naweza enda na manzi geto nikamchezea ila nikitaka kuweka inanywea akisepa imaamka najichua basi inaisha, nilimchukua baamedi majuzi kufika chumbani nikalala mazima hadi kesho akasepa


Ni miezi mitatu sasa hali hii inanikumba
 
Hii nahisi kweli japo naendelea kuichunguza, kuna mwanamke tangu niwe naye siwezi tongoza mwanamke mwingine nikafanikiwa kumchakata mbususu yani lazima kuwe na kizuizi kama sio yupo period basi itatokea maluweluwe sitamla, Naweza enda na manzi geto nikamchezea ila nikitaka kuweka inanywea akisepa imaamka najichua basi inaisha, nilimchukua baamedi majuzi kufika chumbani nikalala mazima hadi kesho akasepa


Ni miezi mitatu sasa hali hii inanikumba
Alishakuwahi
 
Hii nahisi kweli japo naendelea kuichunguza, kuna mwanamke tangu niwe naye siwezi tongoza mwanamke mwingine nikafanikiwa kumchakata mbususu yani lazima kuwe na kizuizi kama sio yupo period basi itatokea maluweluwe sitamla, Naweza enda na manzi geto nikamchezea ila nikitaka kuweka inanywea akisepa imaamka najichua basi inaisha, nilimchukua baamedi majuzi kufika chumbani nikalala mazima hadi kesho akasepa


Ni miezi mitatu sasa hali hii inanikumba
Pole sana kijana, vp huyo mwanamke n mke wako?
 
Back
Top Bottom