Mwanaume anavyotekwa kwa nguvu za mahaba na giza

Mkuu sio kila mtu wakulogwa asilmia 60 ya wanaume waliopo kwnye ndoa wamelogwa dawa zikiisha ndoa chali
Sasa bila kulogwa unadhani wata oa shida inakuja pale unapopanga ule na usipe na ndo hapo mnapokamatika ila ukiwa na malengo mazuri ya kuoa utapata ambao si washirikina kwamaana utakuwa makini
 
Sasa bila kulogwa unadhani wata oa shida inakuja pale unapopanga ule na usipe na ndo hapo mnapokamatika ila ukiwa na malengo mazuri ya kuoa utapata ambao si washirikina kwamaana utakuwa makini
Pamoja na hayo ni utapeli tu mkuu , nitaoa nikifika miaka 90
 

.....duuh umenitisha sana mkuu, ni kweli unadhani unaoneshwa mapenzi kumbe unazindikwa.....may God be with us.....
 
Sio hivyo tu kunaviumbe vina mdomo kwenye mbususu vitanasa na kuzitunza mbegu kuwa makini na mdada anayemeza mbegu huenda ukawa ng'ombe kazi yako nikutoa chakula kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…