Mwanaume asiye na uwezo wa kupata mtoto anahitajika

Asa kwa hao ulioweka umri wao kama kigezo kikuu wataweza kweli kusugua?
Labda kama unahitaji baba tuuh ila kama ni mizagamuano kwa kwenda mbele tafuta Gen Z wako vizuri kuliko ao wazee unaowawazia.
Lakini ni ushauri tuuh kila la kheri mkuu.
Nakazia hapaaa..hio shughuli atupe gen z na kigezo cha mwanaume asieweza kupata mtoto akitoe
 
Unasema watoto watachukua "ubini" wa baba wa kufikia kisheria? Like seriously?
Baba ya watoto biologically anaweza akapinga hili na akashinda, labda kama amekufa.

Sijui ni mwanasheria gani aliyekudanganya kuhusu hii issue ya "ubini".
 
Dada kama upo serious nkuunganishe na jirani ang katelekezewa watoto watatu na mkewe hajulikani alipo
NB.aliachwa kisa ulevi ila kajirekebisha
 
Kila la kheri. I can imagine what you are going through. Kuwe na mwanga katika hitaji lako.
 
Mafeminist wakizidiwa ndo matokeo yake hayaπŸ˜„πŸ˜„
 
Duuh!bandiko linatuacha na maswali mengi anyway
Kwa haraka haraka mama unachotaka kwa sasa ni kusuguliwa tuuh si ndio!?
Yani hataki watoto wa zaidi, ni papuchi tu ichakatwe mpake itoe harufu kama tairi inayoungua.
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…