Huyo atakuwa ndio gundu lenyeweAjabu usikute wewe ndio gundu lenyewe, ukiachana na mtoto wa watu mambo yake yanamuendea....ficha upumbavu wako
Wanawake waki Africa mifumo dume imewaadhiri Sana Yani wao wanategea mwanaume tuwatoe kwenye umasikini, ndiyo maana ukiona mwanamke analalamika maisha magum ukimuuliza kwanini una maisha magum utamsikia ana sema hana mume, au kaachwa na mwanaume.Tatizo la dada zetu ndio ilo wameelekezea matumaini yakutokea kimaisha kwa wanaume badala ya kuona watokaje wenyewe, yani mkiambiwa ata mshare bill tu wamesha kudisqualify nchi za wenzetu ni mambo ya 50/50 vingine ni huruma tu.
Yani kweli mitazamo iko tafauti mwanaume akiwa anasubiri deal moja apige au fursa ya kutokea wenzetu wanasubiri atokezee mtu amtoe kimaisha.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Hahahah anakwambia mie nimeachwa na mtoto nalea mwenyewe kila kitu maisha magumu πππ!Wanawake waki Africa mifumo dume imewaadhiri Sana Yani wao wanategea mwanaume tuwatoe kwenye umasikini, ndiyo maana ukiona mwanamke analalamika maisha magum ukimuuliza kwanini una maisha magum utamsikia ana sema hana mume, au kaachwa na mwanaume.
Kwasisi vijana inabid tuziache fikra zakizaman tuwalee watoto wetu wakike wajue kujitegemea na kujiamin wao wenyewe bila kumtegemea mwanaume kiuchumi tukifanya hivyo wata kuwa huru kiuchumi na ki Afya.Hahahah anakwambia mie nimeachwa na mtoto nalea mwenyewe kila kitu maisha magumu [emoji23][emoji23][emoji23]!
Yeah hili ni muhimu sana, mie nataka binti yangu nimlee kwa upendo sana kiasi kwamba nitamfundisha mambo ya maisha on her early ages!Kwasisi vijana inabid tuziache fikra zakizaman tuwalee watoto wetu wakike wajue kujitegemea na kujiamin wao wenyewe bila kumtegemea mwanaume kiuchumi tukifanya hivyo wata kuwa huru kiuchumi na ki Afya.
Ma bint Wakizungu wapo vizur Sanaa Wana jiamin sanaYeah hili ni muhimu sana, mie nataka binti yangu nimlee kwa upendo sana kiasi kwamba nitamfundisha mambo ya maisha on her early ages!
Hata akipevuka then atakuwa ana recall yale ambayo tulizungumzaga...Asije akawa na mambo ya ajabu katika ku handle mahusiano kwa tamaa za kijinga jinga maana vizuri vyote ntajitahidi nimpatie avizoee mapema.
Trust me we hata ukiwa mchonga vinyago unaweza kuwa na 100% ya kumuoa binti wa kizungu tena ambaye kwao ni matajiri wa kutisha.Ma bint Wakizungu wapo vizur Sanaa Wana jiamin sana
Wee mwenzio kashagegedwa na wanaume wengine kaona wanamchafua tuu. Huyu atakuwa anapiga show show mpaka mbususu inalia yenyewe.Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali.
Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa stress watu wanamshauri amuache hataki. Mwanamme mwenywe sijui ana gundu kila anachofanya knafail na hasara juu.
Sasa mwanamme kama huyu wa nini jaman kujitia stress tu ufe kabla siku si zako. Mwisho na wewe akutie gundu tu hata kuonekana usionekane. Angalieni na wanaume wa kuwa nao unateseka nini na gundu la mtu si bora umwachie mbali akacheze na wnye gundu wezake huko.
Mwanamme maendeleo
Jamani msameheni Dada wa Watu, umasikini tayari umesha mwiingia hadi kichwani hajui afanye nini!?We subiria mume wa mwenzio ukamdange maana ndio kazi nyepesi kwako! You have a very weak mind umaskini wa akili ni mmbaya sana.