Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbaya ndio sampuli vijana wa sasa wanazo zikimbiliaNimejikuta napata uchungu sana. Mungu wangu wabariki vijana wangu wakikua wasije kutana na wanawake sampuli hii. Waje wavumiliane kwenye shida na raha.
hahahah umeona eeeBahati mbaya ndio sampuli vijana wa sasa wanazo zikimbilia
Relax jomba.Well Said
Kunywa chochote nitalipa
Nimekupenda bure ngoja nikuinbox tuyajenge kwanza
ambao hatujaoa tuna kaz sanahahahah umeona eee
Umeaanza Sasa ebu tulia kwanza tupate Madini Mazuri kutoka kwa Wanawake wanaojitambua Kama Mama Samia, kumbe pia humu kina Mama Samia wapo pia!!Well Said
Kunywa chochote nitalipa
Nimekupenda bure ngoja nikuinbox tuyajenge kwanza
Mungu asiitowe,aifanye iwe ina bleed 24/7 tuone atagawa nini zaidi T!? Na siku hizi Wanaume wa ukweli hatupendi rough road!!huna chingine cha ku offer kwenye mahusiano zaidi ya papuchi ,
Mungu akiitoa hiyo papuchi, you are useless
Kila mtu ana namna yake ya kutafsir maendelea, mwingine kula, kuvaa akapendwa kwa dhati kwake ni maendeleo Tayar, wewe endelea kuwaza hivyo utadanga mpaka iote kutuMimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali.
Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa stress watu wanamshauri amuache hataki. Mwanamme mwenywe sijui ana gundu kila anachofanya kinafail na hasara juu.
Sasa mwanamme kama huyu wa nini jaman kujitia stress tu ufe kabla siku si zako. Mwisho na wewe akutie gundu tu hata kuonekana usionekane. Angalieni na wanaume wa kuwa nao unateseka nini na gundu la mtu si bora umwachie mbali akacheze na wenye gundu wezake huko.
Mwanamme maendeleo
Kwann usimshauri yeye apambane kwa upande wake kisha amsaidie huyo jamaa kusimama. Sababu sio kila mtu ana uwezo wa kujinyanyua toka chini mwenyewe bila msaada.Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali.
Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa stress watu wanamshauri amuache hataki. Mwanamme mwenywe sijui ana gundu kila anachofanya kinafail na hasara juu.
Sasa mwanamme kama huyu wa nini jaman kujitia stress tu ufe kabla siku si zako. Mwisho na wewe akutie gundu tu hata kuonekana usionekane. Angalieni na wanaume wa kuwa nao unateseka nini na gundu la mtu si bora umwachie mbali akacheze na wenye gundu wezake huko.
Mwanamme maendeleo
Ushauona ule uzi uloshushwa wakitukanwa wanawake wafanya kazi wanaojitegemea na wapenda maendeleo wanaume wakashoboka sana kuwa wanataka wasichana walio kwa wazazi wao wawategemee 100% wakati mwengine sielewi nyie viumbe mnataka nn!Leo linasemwa hili kesho jingine!Tatizo la dada zetu ndio ilo wameelekezea matumaini yakutokea kimaisha kwa wanaume badala ya kuona watokaje wenyewe, yani mkiambiwa ata mshare bill tu wamesha kudisqualify nchi za wenzetu ni mambo ya 50/50 vingine ni huruma tu.
Yani kweli mitazamo iko tafauti mwanaume akiwa anasubiri deal moja apige au fursa ya kutokea wenzetu wanasubiri atokezee mtu amtoe kimaisha.
Demu wa ajabu kabisa huyu. Ila. Ndio jamii ya wanawake wa sasa hiyo.We subiria mume wa mwenzio ukamdange maana ndio kazi nyepesi kwako! You have a very weak mind umaskini wa akili ni mmbaya sana.
Hovyo mnoDemu wa ajabu kabisa huyu. Ila. Ndio jamii ya wanawake wa sasa hiyo.
Nadhani haujaelewa tofauti zake. Core values za Mwanamke ambazo kila mwanaume anazitafuta ni kwanza mwanamke submissive, msikivu, mpenda haki, mcha MUNGU, mvumilivu, mtunza siri za mumewe hata wakikorofishana, muelewa na mtoa ushirikiano pale mwanaume anapohitaji msaada wake.Ushauona ule uzi uloshushwa wakitukanwa wanawake wafanya kazi wanaojitegemea na wapenda maendeleo wanaume wakashoboka sana kuwa wanataka wasichana walio kwa wazazi wao wawategemee 100% wakati mwengine sielewi nyie viumbe mnataka nn!Leo linasemwa hili kesho jingine!
Nadhani haujaelewa tofauti zake. Core values za Mwanamke ambazo kila mwanaume anazitafuta ni kwanza mwanamke submissive, msikivu, mpenda haki, mcha MUNGU, mvumilivu, mtunza siri za mumewe hata wakikorofishana, muelewa na mtoa ushirikiano pale mwanaume anapohitaji msaada wake.
Kama una hivi vigezo, na unakosa mwanaume wa maisha yako njoo hapa kwangu nitakupa wanaume 1000 uchague yupi aliyekuvutia halafu nitasimamia kila kitu hadi muwe wachumba then muendelee huko kwa wazazi hadi ndoa wenyewe
Wazee lazima waulize, huyo mwenza wako anafanya kazi gani??Trust me we hata ukiwa mchonga vinyago unaweza kuwa na 100% ya kumuoa binti wa kizungu tena ambaye kwao ni matajiri wa kutisha.
Ila ukija huku kwetu kama huna kazi ya kuajiriwa serikalini au ofisi kubwa ni ngumu sana kuaminika hata kwa wazee!
Watoto wa kike wamelelewa katika mazingira ambayo kama mwanaume akiwa hana hela za kufuru basi huyo hafai!
Hahahah dawa ya hao wazee ni kutanguliza mimba tu!Wazee lazima waulize, huyo mwenza wako anafanya kazi gani??
Ngoja waendelee kutiririkaUmeaanza Sasa ebu tulia kwanza tupate Madini Mazuri kutoka kwa Wanawake wanaojitambua Kama Mama Samia, kumbe pia humu kina Mama Samia wapo pia!!