Mwanaume asiyekuwa na maendeleo unawezaje kukaa nae?

Mwanaume asiyekuwa na maendeleo unawezaje kukaa nae?

Hao waliofanikiwa walipitia msoto km huyo jamaa ndiyo maana huwa ni ngumu sana kumuona mwanaume aliyefanikiwa kiuchumi akababaika na mwanamke.
Mm huwa naamini mwanamke anapenda pesa zangu tu. Tofauti na papuchi hana kitu cha kunipa
Na huu ndio ukweli kabisa. Mwanamke yeye ni kukupa mbususu tuu.
 
Hahahah anakwambia mie nimeachwa na mtoto nalea mwenyewe kila kitu maisha magumu [emoji23][emoji23][emoji23]!
Alafu atakuambia kua yeye ndiyo Baba na yeye ndiyo Mama!! Hii kauli inanishangaza sana! Mtu anawezaje kua baba na wakati huohuo akawa yeye ndiyo Mama pia!?
 
Kama mbali na mwanamke ambaye ameshawahi kuolewa kwa namna yoyote
Kaa mbali na mwanamke mwenye mtoto hata kama mtoto amekufa
Kaa mbali na mwanamke ambaye kwao ni fukara kupitiliza
Kaa mbali na mwanamke ana mipango kuliko mipango mwenyewe
Kaa mbali na mwanamke aliyeachwa na mwanaume mwenzako hata akikuambia kuwa mwanaume yule alikuwa hivi alikuwa vile
Kaa mbali na mwanamke ambaye ...
......Kaishawai kufanyiwa unyanyasaji wa kingono.
Kaa mbali na mwanamke anaetamani utajiri kwa uchu.
Kaa mbali na mwanamke ambaye alishawai tumia mwili (uchi) wake ili kufanikisha malengo yake
Kaa mbali na mwanamke MPUMBAVU
 
Alafu atakuambia kua yeye ndiyo Baba na yeye ndiyo Mama!! Hii kauli inanishangaza sana! Mtu anawezaje kua baba na wakati huohuo akawa yeye ndiyo Mama pia!?
Kioja cha mwaka hiki
 
Nimejikuta napata uchungu sana. Mungu wangu wabariki vijana wangu wakikua wasije kutana na wanawake sampuli hii. Waje wavumiliane kwenye shida na raha.
 
Hiz pesa zilipotupeleka sijui aisee
Asikusumbue akili mkuu!

Huyu ana take home yake 400K na Passo ya mkopo iPhone ya kuhongwa imejaa majina ya madanga yake manne anaona maisha ameyamaliza,huyu muda utamfahamisha.

Alimradi anatoka nyumbani kuhangaika hakuna mwanaume asiyekuwa na goli lake,mara nyingi ni wakati tu haujafika kulenga ili kupata mafanikio so maneno ya watu wasiojitambua kama hawa yasitukatishe tamaa.
 
Wewe hayo maendeleo unayo!au ndo akili yako imejawa mawazo kwamba lazima uhudumiwe kila kitu na mwanaume hadi pumzi!stuka madame tafuta na wewe maendeleo yako ndipo uje kifua mbele kumsema mwanaume hana maendeleo.

Wewe ndo unaefanya tuonekane kila mwanamke anategemea pesa za mwanaume 💯mwisho wa siku tunaishia kumegwa na kuachwa.

Hakuna kiumbe kigumu kusamehe aiseh kama mwanaume rafiki yangu.jitahidi kama jamaa yako hali yake ya kiuchumi si nzuri,msapoti ikishindikana mwache kimyakimya ateseke kivyake..kuliko kumtamkia maneno mabaya..maneno yanaishi ndani ya mtu na yanaumiza mno.

Jitahidi kuwa mbegu njema kwa mtu yeyote maana ukipandacho leo..ni lazima ukivune,I tell you iwe ni baya au zuri.

Nikukumbushe tu we dada..hakuna maumivu yanayotesa kama ya kuumizwa au kunyanyasika kama huna kitu😔😔hiyo hali ni mbaya mno.so kama mwamba unahisi hana maendeleo fukara kapuku,asie na thamani mbele yako kama mwanamke tafadhali mwache aende usiwe sehemu ya kumuumiza.

Close the door gently,you might return.🥂
 
Umenena vema sana mkuu hawajijui aisee
Ameona wapi mwanaume anakua gundu kwa mtoto wa kike wakati mwanaume ndio chanzo cha kipato katika familia, kaletewa gundu yeye ndo anatafuta? Usikute hata maana ya gundu haijui huyu....na wanawake wa hivi ukikaa nao hata mapepo huwa hawakosi yani
 
Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali.

Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa stress watu wanamshauri amuache hataki. Mwanamme mwenywe sijui ana gundu kila anachofanya knafail na hasara juu.

Sasa mwanamme kama huyu wa nini jaman kujitia stress tu ufe kabla siku si zako. Mwisho na wewe akutie gundu tu hata kuonekana usionekane. Angalieni na wanaume wa kuwa nao unateseka nini na gundu la mtu si bora umwachie mbali akacheze na wnye gundu wezake huko.

Mwanamme maendeleo
Hongera zako wewe uliyezaliwa kishua na unayeijua kesho yako
Cc wengine hebu tuendelee kupambana huku pembeni yetu wakiwa hao wanawake wanaoishi na sisi tusio na maendeleo
 
Wewe hayo maendeleo unayo!au ndo akili yako imejawa mawazo kwamba lazima uhudumiwe kila kitu na mwanaume hadi pumzi!stuka madame tafuta na wewe maendeleo yako ndipo uje kifua mbele kumsema mwanaume hana maendeleo.

Wewe ndo unaefanya tuonekane kila mwanamke anategemea pesa za mwanaume 💯mwisho wa siku tunaishia kumegwa na kuachwa.

Hakuna kiumbe kigumu kusamehe aiseh kama mwanaume rafiki yangu.jitahidi kama jamaa yako hali yake ya kiuchumi si nzuri,msapoti ikishindikana mwache kimyakimya ateseke kivyake..kuliko kumtamkia maneno mabaya..maneno yanaishi ndani ya mtu na yanaumiza mno.

Jitahidi kuwa mbegu njema kwa mtu yeyote maana ukipandacho leo..ni lazima ukivune,I tell you iwe ni baya au zuri.

Nikukumbushe tu we dada..hakuna maumivu yanayotesa kama ya kuumizwa au kunyanyasika kama huna kitu😔😔hiyo hali ni mbaya mno.so kama mwamba unahisi hana maendeleo fukara kapuku,asie na thamani mbele yako kama mwanamke tafadhali mwache aende usiwe sehemu ya kumuumiza.

Close the door gently,you might return.🥂
Well Said
Kunywa chochote nitalipa
Nimekupenda bure ngoja nikuinbox tuyajenge kwanza
 
Kwa wale wadada wote wenye matumain yakutoka kimaisha kupitia mgongo wa mwanaume hilo gundu lazima limuhusu
 
Wewe hayo maendeleo unayo!au ndo akili yako imejawa mawazo kwamba lazima uhudumiwe kila kitu na mwanaume hadi pumzi!stuka madame tafuta na wewe maendeleo yako ndipo uje kifua mbele kumsema mwanaume hana maendeleo.

Wewe ndo unaefanya tuonekane kila mwanamke anategemea pesa za mwanaume [emoji817]mwisho wa siku tunaishia kumegwa na kuachwa.

Hakuna kiumbe kigumu kusamehe aiseh kama mwanaume rafiki yangu.jitahidi kama jamaa yako hali yake ya kiuchumi si nzuri,msapoti ikishindikana mwache kimyakimya ateseke kivyake..kuliko kumtamkia maneno mabaya..maneno yanaishi ndani ya mtu na yanaumiza mno.

Jitahidi kuwa mbegu njema kwa mtu yeyote maana ukipandacho leo..ni lazima ukivune,I tell you iwe ni baya au zuri.

Nikukumbushe tu we dada..hakuna maumivu yanayotesa kama ya kuumizwa au kunyanyasika kama huna kitu[emoji17][emoji17]hiyo hali ni mbaya mno.so kama mwamba unahisi hana maendeleo fukara kapuku,asie na thamani mbele yako kama mwanamke tafadhali mwache aende usiwe sehemu ya kumuumiza.

Close the door gently,you might return.[emoji1635]
 
Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali.

Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa stress watu wanamshauri amuache hataki. Mwanamme mwenywe sijui ana gundu kila anachofanya knafail na hasara juu.

Sasa mwanamme kama huyu wa nini jaman kujitia stress tu ufe kabla siku si zako. Mwisho na wewe akutie gundu tu hata kuonekana usionekane. Angalieni na wanaume wa kuwa nao unateseka nini na gundu la mtu si bora umwachie mbali akacheze na wnye gundu wezake huko.

Mwanamme maendeleo
huna chingine cha ku offer kwenye mahusiano zaidi ya papuchi ,
Mungu akiitoa hiyo papuchi, you are useless
 
Nitagusia upande mwengine kabisa nikitoa ushauri.Kiimani mwenza wako anaweza kuwa chanzo cha maendeleo yako au kushuka kwako!Kuna watu wanakuwa wamefungwa kiimani wanahitaji maombi ili waweze kuwekwa huru bila hivyo kila anachofanya kinakuwa hakifanikiwi na mnaweza hata kufilisika kabisa!So muhimu kabla ya kufunga ndoa uwe kwenye maombi ili Mungu akuletee mume sahihi ambaye spiritually mtaendana!
 
Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali.

Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa stress watu wanamshauri amuache hataki. Mwanamme mwenywe sijui ana gundu kila anachofanya knafail na hasara juu.

Sasa mwanamme kama huyu wa nini jaman kujitia stress tu ufe kabla siku si zako. Mwisho na wewe akutie gundu tu hata kuonekana usionekane. Angalieni na wanaume wa kuwa nao unateseka nini na gundu la mtu si bora umwachie mbali akacheze na wnye gundu wezake huko.

Mwanamme maendeleo
Unafanya kazi gan Dada?? Una kitu kingine cha kufanya kukupa kipato?? Au ni papuchi tu??.

Km ni papuchi tu mmhhh mbona km italiwa sana ?.
 
Mimi nashangaa tu ndio mnaita mapenzi ya kweli? Mimi naona kutumika vibaya tu. Mtu unaishi vipi na mwanamme hana maendeleo, hata mipango yake kuhusu maisha hovyo kila anachofanya kina fail. Kuna watu wana huruma kweli ningekuwa mimi nimeshamwachia mbali.

Dada wa watu anazidi kukonda tu kwa stress watu wanamshauri amuache hataki. Mwanamme mwenywe sijui ana gundu kila anachofanya knafail na hasara juu.

Sasa mwanamme kama huyu wa nini jaman kujitia stress tu ufe kabla siku si zako. Mwisho na wewe akutie gundu tu hata kuonekana usionekane. Angalieni na wanaume wa kuwa nao unateseka nini na gundu la mtu si bora umwachie mbali akacheze na wnye gundu wezake huko.

Mwanamme maendeleo
Maendeleo yaletwe na nyinyi wapenzi kwa pamoja. Unayoshangaa ndiyo mapenzi ya kweli yanayomfanya dada abakie na mpenzi wake ije raha au taabu. Wewe kipenzi chako ni mali ya huyo mwanaume na siyo kwamba unampenda yeye binafsi na ndiyo maana akiishiwa, mapenzi yako kwake yanaisha pia.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 Mleta uzi umewachokoza Wanaume, maisha ni kusaidiana Me na Ke.
 
Wewe hujui mambo ya mjini sio wote wajinga kuishi na watu hao wanamaana zao mf. Zari kweli kweli ni anakuja kanchi kadogo kuzaa na msaani underground?
 
Back
Top Bottom