Mwanaume atakae kuja kukuoa atapata raha sana

Mwanaume atakae kuja kukuoa atapata raha sana

Msichana Unatoka Kwenu Unaenda Kwa Jamaa Mnafanya Yenu Mnamaliza Unaanza Kufua,Unaosha Vyombo, Unafagia Na Kudeki Ndani ,Unapika Mnakula Baada Ya Kumaliza Jamaa Anakwambia Mwanaume Atakaekuoa Atapata Raha Sana

Hivi utamjibu ni nini huyo Mwanaume [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lazima akwambie hivyo, ni fumbo, haiwezekani wewe ukawa unaakti kiasi hicho!! Unapika, unadeki, unafagia, unafua nk hapo ni kwamba unalazimisha ndoa.
 
Hahaaa hapa hamna muoaji kimbiaa[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Ningenyanyua majeshi yangu sahiyo hiyo na kumdelete kwanzia mda huo
Ukuni utakua haujakukolea vizuri. Mlivyo ving'ang'anizi hivyo hiyo sio sababu kabisa ya kunyanyua majeshi. Tena kama wewe ndo ungemjibu "Ndo ufanye mpango sasa unioe"

[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
 
Ukuni utakua haujakukolea vizuri. Mlivyo ving'ang'anizi hivyo hiyo sio sababu kabisa ya kunyanyua majeshi. Tena kama wewe ndo ungemjibu "Ndo ufanye mpango sasa unioe"

[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Ha haa atajua na ukuni wake sahiyo sina habari
 
Siku hiyo inatakiwa iwe simu ya mwisho ya kutoa hizo huduma.
 
Back
Top Bottom