Mwanaume auliwa kwa kukatwa mapanga nyumbani kwa mpenzi wake, yadaiwa alikuwa akitembea na mke wa mtu

Waafrica ni watu makatili sana. Unaanzaje kuuwa kisa mwanamke? wapo tele wamejaa mitani unajikamatia tu mwengine. Hapo anaenda kuozea jela tu huyo tena.
 
Kuna watu walivyo na roho ngumu utashangaa walivyosoma habari hii tu ikadisa🙄🤔
 
Kufungwa jela sababu ya mwanamke ni ujinga uliopitiliza.
 
Mwanaume una akili kweli unaenda kwa mwanamke tena nyumbani kwake tena kitanda cha mumewe kabisa Ina maana vichaka hamuvioni hizi ni dharau na vifo vya kujitakia kabisa
 
Wanawake wengi sana tujitahidi kuwa na wake wengi ili ukiachwa huwazi sana
 
Baadhi ya wanaume wanapomwacha mwanamke wanataka mwanamke huyo aje kumpigia magoti kuomba msamaha, na kujishusha kwa mwanamke, ili mwanaume aonekane mjanja.
Sasa anapotokea mwanaume kuzima matarajio hayo chuki inajitokeza dhidi ya mwanaume huyo aliyejitokeza kumfariji mwanamke aliyeachwa.
Hii inamaana kuwa, kuachwa kwa mwanamke kulikotokana na ugomvi kati yao kusichukuliwe kuwa KWELI bali ni geresha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…