Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kisayansi,kila mwanaume rijali na asiye na mawaa,kila baada ya sekunde sita huwa wazo la ngono humuijia kichwani.Believe it or don't!60% wa wanaume wa Tanzania kwa asubuh hii wapo na mawazo haya 😂🤣🤝
Sekunde 6 mbona mbali!! Mimi kila baada ya sekunde 3Kisayansi,kila mwanaume rijali na asiye na mawaa,kila baada ya sekunde sita huwa wazo la ngono humuijia kichwani.Believe it or don't!
hakikishi huchepuki kabla ya ndoa na baada ya ndoaShukrani.
Mimi ulivyoandika tu,tayari!Sekunde 6 mbona mbali!! Mimi kila baada ya sekunde 3
Inakuwaje mbaya tena?Nyege ni tunu ya taifa.Nyege ni mbaya sana.
Mtandao wako una kasi ya 5GMimi ulivyoandika tu,tayari!
Nakana kauli hiyo.Naelekea kwenye 12G cash!Mtandao wako una kasi ya 5G
HhahhahahhahaahaChagua chagua mwanaume huku wewe ukiwa umeumbika haswaaaa
Wengi wanapenda man awe tall, kifua, black, wakati yeye ni mfupi kapigwa pasi sura kama andazi lililoingia michanga, kitambi kama afisa meneja na meno kama mbegu za Machungwa
Nyuzi kama hizi ni matokeo ya nyege, Nwanamke mwenye nyege ni hatari kuliko kikundi cha wanyang'anyi.Inakuwaje mbaya tena?Nyege ni tunu ya taifa.
Nilikununia! Ila umenichekesha😂🤸Hhahhahahhahaaha
This is violence!. Sanamu lako watakujengea vijana weupe wafupi.
Sio kila kitu cha kutangaza tangaza,utakuja logwa bure weweHalafu awe
✓Tall🥰
✓Mwembamba kiasi🥰
Nyiee acheniii 🤗
Sitamani jumanne ifike🤸
BTW: Kama hakutokuwa na mabadiliko ,tarehe ya ndoa ni 13 July 2024.
I can't wait for shoooo😁😁
Play song for us Mr piano man😁🎵
KARIBUNI
♥️♥️♥️
Ww ni mwanaume😕😕😕Sekunde 6 mbona mbali!! Mimi kila baada ya sekunde 3
Muambie mtoa mada asitumie kiemoji chako cha sambasoti.Nilikununia! Ila umenichekesha😂🤸
Hahaha!.Fanyeni yote lkn mkizaa watoto weusi kama ngozi ya goti msihangaike kuweka filter ktk camera ili waonekane weupe mitandaoni!
Anashindwa ku-Imagine aina ya moto utakaowaka hy J4 😂
Hivi hizo D 2 huwa ni za o level au advance?Wenye D mbili mmeelewa chap!!