Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kisayansi,kila mwanaume rijali na asiye na mawaa,kila baada ya sekunde sita huwa wazo la ngono humuijia kichwani.Believe it or don't!60% wa wanaume wa Tanzania kwa asubuh hii wapo na mawazo haya 😂🤣🤝