Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
- Thread starter
- #21
Nimewa verify😁🤸Ahsante kwa kulitambua hilo, hatunaga show ndogo.View attachment 3017741
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimewa verify😁🤸Ahsante kwa kulitambua hilo, hatunaga show ndogo.View attachment 3017741
Ulivyomaliza hakukuuliza kama unampenda?😎Kuna demu nliwahi kupita nae yan kama alivyoeleza ephen_ ndivyo huyo binti alikuwa ila n bc tuu genye hilo linatusumbua
Mimi ni mfupiHalafu awe
✓Tall🥰
✓Mwembamba kiasi🥰
Nyiee acheniii 🤗
Sitamani jumanne ifike🤸
BTW: Kama hakutokuwa na mabadiliko ,tarehe ya ndoa ni 13 July 2024.
I can't wait for shoooo😁😁
Play song for us Mr piano man😁🎵
KARIBUNI
♥️♥️♥️
Uji nlimwaga bc tuuVyovyote alivyokua muhimu iliingia na ukamwaga uji
Uwe na shukraniii
KabisaJ4 mtu anaenda kupewa raha duniani 😂
Bc mwnyw anajibebisha, mm sa hy ht simuelewi namuangalia kama simuoni vileUlivyomaliza hakukuuliza kama unampenda?😎
Tunashukuru sanaNimewa verify😁🤸
Halafu awe
✓Tall🥰
✓Mwembamba kiasi🥰
Nyiee acheniii 🤗
Sitamani jumanne ifike🤸
BTW: Kama hakutokuwa na mabadiliko ,tarehe ya ndoa ni 13 July 2024.
I can't wait for shoooo😁😁
Play song for us Mr piano man😁🎵
KARIBUNI
♥️♥️♥️
Ukajidai kazini wanakupigia simu au unasikilizia dili flani!Bc mwnyw anajibebisha, mm sa hy ht simuelewi namuangalia kama simuoni vile
Anashindwa ku-Imagine aina ya moto utakaowaka hy J4 😂Kwanini hutamani jumanne ifike? 🤣🤣
Nwei,july 13 2024 ifike salama...tupewe kadi moja ya wanaJF
Hongera
Sitak ht kukumbuka, yule dogo Siwez kurudia tena kwake ht kwa kibokoUkajidai kazini wanakupigia simu au unasikilizia dili flani!
Ngoja ushibe pure.Utamkumbuka tu.Mbona hata dhambi hukumbukwa?Sitak ht kukumbuka, yule dogo Siwez kurudia tena kwake ht kwa kiboko
60% wa wanaume wa Tanzania kwa asubuh hii wapo na mawazo haya 😂🤣🤝Asubuhi yote hii mwana-JF Great Thinker anawaza mizagamuo😳