Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una maanisha utatafunwa na huyo jamaa kuanzia Jumamosi,Jumapili na Jumatatu coz hizo ni siku za mapumziko,Sitamani Jumanne ifike🤸
Jumanne ni siku ya kazi,ana maanisha atatafunwa kuanzia Jumamosi mpaka jumatatu.Kwanini hutamani jumanne ifike? 🤣🤣
Nwei,july 13 2024 ifike salama...tupewe kadi moja ya wanaJF
Hongera
Boloyange inches ngap zinakutosha?Mmm😁
Kama Mandingo 😂😂😂Ukikutana na huyo tall mweusi ndio utajua n moto gn naozungumzia
Mambo yatakuwa 🔥Kama Mandingo 😂😂😂
Dah! Nimecheka mpaka nimepaliwa we dada ujengewe sanamuChagua chagua mwanaume huku wewe ukiwa umeumbika haswaaaa
Wengi wanapenda man awe tall, kifua, black, wakati yeye ni mfupi kapigwa pasi sura kama andazi lililoingia michanga, kitambi kama afisa meneja na meno kama mbegu za Machungwa
Mpeni elimu mwanamke mwenzenu bado yuko nyuma na wakatiAmka wewe kumekucha
Halafu awe
✓Tall🥰
✓Mwembamba kiasi🥰
Nyiee acheniii 🤗
Sitamani Jumanne ifike🤸
BTW: Kama hakutokuwa na mabadiliko tarehe ya ndoa ni 13 July 2024.
I can't wait for shoooo😁😁
Play song for us Mr piano man😁🎵
KARIBUNI
♥️♥️♥️