Mwanaume chukua somo kwenye kisa cha Talulah Riley na Elon Musk

Mwanaume chukua somo kwenye kisa cha Talulah Riley na Elon Musk

”Niliachana na Elon Musk baada ya yeye kuyumba sana kiuchumi lakini Kwa Sasa ninajutia kitendo changu cha kumuacha na sasa nataka kurudiana naye, sio kwa sababu ya Pesa zake nyingi Wala siyo kwa sababu amefanikiwa sana bali ninataka kurudiana nae kwa sababu ya Upendo wangu mkubwa kwake

Sometimes malaya bwana,sasa aliachana nae kwa sababu aliyumba sana kiuchumi kwanini asiuonyeshe huo upendo anaouzungumza leo kipindi hicho aje auonyeshe sasa jamaa akiwa na pesa?njaa inamfanya mtu anakuwa kama taahira.
 
Elon Musk hawezi rudiana na shetani, ndio maana baada ya kumuacha huyo mwanamke, mambo ya Elon yakawa mazuri sana, huyo ni ibilisi
Elon musk ameamua kujitengenezea robot za mapenzi famasiala Nini wewe

Maanake hataki Tena mpenzii Wala mke binadamu 🤨🤨😅😅😅🤣
 
Back
Top Bottom