Mwanaume hakutakiwa kuteseka kisa mapenzi, kutokujitambua na upumbavu ndio kunawafanya kuwa hivyo

Wanaume WAPENDENI wake zenu,na Wake WATIINI waume zenu

Huu mstari wa bible uliuelewa vzr?
 
Hakuna mjanja wa wajanja,

Kila mtu na mjanja wake..

Huyo anayekuliza wewe na yeye anamlilia mwingine..

Na huyo unayemlilia wewe mwingine anamuona dada wa kazi.

That's human nature.
 
Aisee hivi kumbe kuna wanaume wenzetu wanalialia kisa wanawake?. Something must be done!.

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Shaurini mtakavyoshauriana
Ila wamiliki wa *tamu ndo sie....

Msisahau alikuwepo Samson ila pia alikuwepo Delilahh..
Samsoni mzembe Sana,Adam ndio kabisaaaa. Mwanamke wa kunifanyia Mimi studentTeacher walichofanyiwa Adam na Samsoni hayupo na hatakuwepo. Nina nguvu ambazo zinawindwa kwa kutumia wanawake tena warembo lakini hola,ni miaka zaidi ya 15 sasa nazilinda kwa udi na uvumba. Mwanamke kujidanganya kutumia utamu wake kutaka kunipumbaza na kunipenyezea agenda zake nyeusi hilo kwangu hata Shetani anajua wazi limebuma!

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Halafu sasa wanawake hua wanapenda mwanaume mwenye wanawake wengi aua mwenyekuweza kupata mwanamke yoyote wakati wowote usipokua hivyo mwanamke anadharau...
Hapa ndo wanawake hushangaza sana 🙄 Kwamba akijua umeweka kambi kwake pekee, anakuona pimbi.
Wanapenda kila mwanaume awe polygamous!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…