Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Kila sehemu kuna tamaduni zake, mwaka 2000 nilikwenda Tanga kimajukumu, katika pitapita ufukweni nilikutana na jamaa yangu aliyekuwa Station Master wa TAZARA X akiwa na kapu la samaki kwenye baiskeli analipeleka nyumbani, ujuavyo watu wa Tanga walivyo wakarimu akanitaka nikapafahamu kwake, on our way tulipita zaidi ya sehemu 6 akinunua viungo na mahitaji mengine na zoezi hilo lilituchukua zaidi ya saa nzimaMwisho utaanza kuosha vyombo na chupi za mkeo ili uheshimiwe kumbe anakulia gepu tu