Mwanaume jenga utamaduni wa kurudi nyumbani na mfuko wa sokoni

Mwanaume jenga utamaduni wa kurudi nyumbani na mfuko wa sokoni

zingatia neno ukirudi utakimbiliwa kupokewa, hiyo hela ukiwaachia ukirudi hawakukimbilii maana hauna cha kupokelewa

halafu mitoto itajua mama ndiye mnunuzi wa vitu, bila kuzingatia baba ndie mtoa hela, ila ukirudi navyo mwenyewe, watoto hawatosahau kuwa baba alikuwa hodari analeta vitu nyumbani kila akirudi
Umesema sana
 
Mbona hiyo ndio culture yangu. Lazima nikirudi waje kufungua "buti", ikishindikana Hata Jojo na big G.

Yaani unafika Getini hujapiga honi dogo anafungua geti , ukiwa unapita utadhani natumian remote madogo wamekariri muunguruma wa ndiga ya kijapani.

Mwisho wa mwezi ndio mazagazaga yote muhimu yanaletwa, inabakia vya kujazilia tu Kwa kweli inapendeza.
bado unayo ile suzuki escudo mkuu toka 2017?

nakumbuka sana ule uzi wako wa ulaji wa mafuta kwenye hii chuma yako..
 
Ukiwa umeoa / nyumbani una familia hakikisha kila unaporudi home unarudi na mfuko umejaa vitu vya sokoni.

Ukijenga huo utamaduni itakuongezea heshima kwenye nyumba yako hata kabla haujaingia ndani ya nyumba yako utaona mke au watoto wanakukimbilia kukupokea.
Ka,i ya mke hiyo sio wewe mwanaume
 
kuna mmoja tulikuwa tunakulana tu sehemu nilikaa kama 2mnths hv, akawa muda mwingi yupo kwangu, nikawa nikitoka kwenye ishu zangu lazima niwe na mfuko umejaa mazaga.

alipokuja kuolewa mumewe akawa anarudi na makende yake tu japo alikuwa na kazi nzuri, siku uzalaendo ukamshinda akamwambia mumewe, "kwa nini usiwe kama granitized"?

mumewe kumbana akampa mkanda mzima, jamaa akamwambia nitafutie namba ya huyo granitized, bibie akampa jamaa akanitafuta nikampa maujanja, baada kama ya mwezi mwamba akanipigia akaniambia "mzee kuna mtu anataka kuniua na k huku" nikacheka tu, nikamwambia uwe unampelekea na chocolate siku 1 1.
 
Mbona hayo maisha ya kimasikini sana

Wajanja siku hizi kinanunuliwa kila kitu na kuwekwa kwa friji kwa mwezi au mara mbili kwa mwezi

Yaani nyama, samaki, nyanya za kuingia mchuzi na kakorokoro mengine vyote vipo kwa freezer
Hii nchi madogo mmeset standard za kishamba sana za kuonekana tajiri! Imagine mtu anaona kununua vitu rundo na kuweka kwa friji ni utajiri 😂😂😂😂
 
Ukiwa umeoa / nyumbani una familia hakikisha kila unaporudi home unarudi na mfuko umejaa vitu vya sokoni.

Ukijenga huo utamaduni itakuongezea heshima kwenye nyumba yako hata kabla haujaingia ndani ya nyumba yako utaona mke au watoto wanakukimbilia kukupokea.
Mateso yote ya Nini Haya.

Kataa ndoa
 
Mbona hayo maisha ya kimasikini sana

Wajanja siku hizi kinanunuliwa kila kitu na kuwekwa kwa friji kwa mwezi au mara mbili kwa mwezi

Yaani nyama, samaki, nyanya za kuingia mchuzi na kakorokoro mengine vyote vipo kwa freezer
True, sema kama una familia bas mara moja au mbili kwa week unaenda na vizawadi extra, eg, Yoghurt, mara juice, mara matunda mengine ambayo hayapo, mara umerudi na mbuzi choma,
 
Jukumu la kwenda sokoni ni la mke. Acha kuingilia majukumu ya mkeo. Mpe hela ataamua akanunue nini kama mama house. Mambo yanayohusu jikoni usiingilie kabisa.... Usijifanye romantic kupitiliza.. utaharibu.
Huu ujinga siwezi kufanya mara sijui umebeba nyanya, sijui samaki n.k
Mwisho wa siku unaanza kuagizwa, upitie nyanya, nyama mara sijui nini.
Acha hela, atajua yeye mwenyewe.
 
kuna mmoja tulikuwa tunakulana tu sehemu nilikaa kama 2mnths hv, akawa muda mwingi yupo kwangu, nikawa nikitoka kwenye ishu zangu lazima niwe na mfuko umejaa mazaga.

alipokuja kuolewa mumewe akawa anarudi na makende yake tu japo alikuwa na kazi nzuri, siku uzalaendo ukamshinda akamwambia mumewe, "kwa nini usiwe kama granitized"?

mumewe kumbana akampa mkanda mzima, jamaa akamwambia nitafutie namba ya huyo granitized, bibie akampa jamaa akanitafuta nikampa maujanja, baada kama ya mwezi mwamba akanipigia akaniambia "mzee kuna mtu anataka kuniua na k huku" nikacheka tu, nikamwambia uwe unampelekea na chocolate siku 1 1.
Hii kamba kubwa sana 😂😂😂😂 kirahisi hivo 😂😂😂
 
Ukiwa umeoa / nyumbani una familia hakikisha kila unaporudi home unarudi na mfuko umejaa vitu vya sokoni.

Ukijenga huo utamaduni itakuongezea heshima kwenye nyumba yako hata kabla haujaingia ndani ya nyumba yako utaona mke au watoto wanakukimbilia kukupokea.
Sahihi ❤️
 
kuna mmoja tulikuwa tunakulana tu sehemu nilikaa kama 2mnths hv, akawa muda mwingi yupo kwangu, nikawa nikitoka kwenye ishu zangu lazima niwe na mfuko umejaa mazaga.

alipokuja kuolewa mumewe akawa anarudi na makende yake tu japo alikuwa na kazi nzuri, siku uzalaendo ukamshinda akamwambia mumewe, "kwa nini usiwe kama granitized"?

mumewe kumbana akampa mkanda mzima, jamaa akamwambia nitafutie namba ya huyo granitized, bibie akampa jamaa akanitafuta nikampa maujanja, baada kama ya mwezi mwamba akanipigia akaniambia "mzee kuna mtu anataka kuniua na k huku" nikacheka tu, nikamwambia uwe unampelekea na chocolate siku 1 1.
😂😂😂 noma sana
 
Back
Top Bottom