MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kwa mara moja sio mbaya.Hii inafanyika siku moja moja. Unaweza ukawa umeacha hela ya nyama. Lakini si vibaya jioni ukarudi na Samaki hata watano tu. It has an impact
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mara moja sio mbaya.Hii inafanyika siku moja moja. Unaweza ukawa umeacha hela ya nyama. Lakini si vibaya jioni ukarudi na Samaki hata watano tu. It has an impact
Umesema sanazingatia neno ukirudi utakimbiliwa kupokewa, hiyo hela ukiwaachia ukirudi hawakukimbilii maana hauna cha kupokelewa
halafu mitoto itajua mama ndiye mnunuzi wa vitu, bila kuzingatia baba ndie mtoa hela, ila ukirudi navyo mwenyewe, watoto hawatosahau kuwa baba alikuwa hodari analeta vitu nyumbani kila akirudi
bado unayo ile suzuki escudo mkuu toka 2017?Mbona hiyo ndio culture yangu. Lazima nikirudi waje kufungua "buti", ikishindikana Hata Jojo na big G.
Yaani unafika Getini hujapiga honi dogo anafungua geti , ukiwa unapita utadhani natumian remote madogo wamekariri muunguruma wa ndiga ya kijapani.
Mwisho wa mwezi ndio mazagazaga yote muhimu yanaletwa, inabakia vya kujazilia tu Kwa kweli inapendeza.
Pambana mkuu usikate tamaa ipo sikuIla kurudi nyumbani bila kitu mkononi inauma!!
MaleziYou are very dump you are very stupid 😀
Ka,i ya mke hiyo sio wewe mwanaumeUkiwa umeoa / nyumbani una familia hakikisha kila unaporudi home unarudi na mfuko umejaa vitu vya sokoni.
Ukijenga huo utamaduni itakuongezea heshima kwenye nyumba yako hata kabla haujaingia ndani ya nyumba yako utaona mke au watoto wanakukimbilia kukupokea.
Hii nchi madogo mmeset standard za kishamba sana za kuonekana tajiri! Imagine mtu anaona kununua vitu rundo na kuweka kwa friji ni utajiri 😂😂😂😂Mbona hayo maisha ya kimasikini sana
Wajanja siku hizi kinanunuliwa kila kitu na kuwekwa kwa friji kwa mwezi au mara mbili kwa mwezi
Yaani nyama, samaki, nyanya za kuingia mchuzi na kakorokoro mengine vyote vipo kwa freezer
Mateso yote ya Nini Haya.Ukiwa umeoa / nyumbani una familia hakikisha kila unaporudi home unarudi na mfuko umejaa vitu vya sokoni.
Ukijenga huo utamaduni itakuongezea heshima kwenye nyumba yako hata kabla haujaingia ndani ya nyumba yako utaona mke au watoto wanakukimbilia kukupokea.
True, sema kama una familia bas mara moja au mbili kwa week unaenda na vizawadi extra, eg, Yoghurt, mara juice, mara matunda mengine ambayo hayapo, mara umerudi na mbuzi choma,Mbona hayo maisha ya kimasikini sana
Wajanja siku hizi kinanunuliwa kila kitu na kuwekwa kwa friji kwa mwezi au mara mbili kwa mwezi
Yaani nyama, samaki, nyanya za kuingia mchuzi na kakorokoro mengine vyote vipo kwa freezer
Huu ujinga siwezi kufanya mara sijui umebeba nyanya, sijui samaki n.kJukumu la kwenda sokoni ni la mke. Acha kuingilia majukumu ya mkeo. Mpe hela ataamua akanunue nini kama mama house. Mambo yanayohusu jikoni usiingilie kabisa.... Usijifanye romantic kupitiliza.. utaharibu.
Hii kamba kubwa sana 😂😂😂😂 kirahisi hivo 😂😂😂kuna mmoja tulikuwa tunakulana tu sehemu nilikaa kama 2mnths hv, akawa muda mwingi yupo kwangu, nikawa nikitoka kwenye ishu zangu lazima niwe na mfuko umejaa mazaga.
alipokuja kuolewa mumewe akawa anarudi na makende yake tu japo alikuwa na kazi nzuri, siku uzalaendo ukamshinda akamwambia mumewe, "kwa nini usiwe kama granitized"?
mumewe kumbana akampa mkanda mzima, jamaa akamwambia nitafutie namba ya huyo granitized, bibie akampa jamaa akanitafuta nikampa maujanja, baada kama ya mwezi mwamba akanipigia akaniambia "mzee kuna mtu anataka kuniua na k huku" nikacheka tu, nikamwambia uwe unampelekea na chocolate siku 1 1.
Siku usipokuja navyo mkeo ananunaYote sawa. Ila ukirudi na furushi inaongeza msisimko
Sahihi ❤️Ukiwa umeoa / nyumbani una familia hakikisha kila unaporudi home unarudi na mfuko umejaa vitu vya sokoni.
Ukijenga huo utamaduni itakuongezea heshima kwenye nyumba yako hata kabla haujaingia ndani ya nyumba yako utaona mke au watoto wanakukimbilia kukupokea.
🤣🤣🤣🤣🥴Siku usipokuja navyo mkeo ananuna
Mwanaume umeoa halafu unapita sokoni kununua nyanya, ndizi, vitunguu n.k😀😀😀😀 Si bora ubaki single tu
Zamani nilivyokua nimeoa nilirudi nimelewa ila pia na vyakula vilikua havikatiki ndani , labda wewe umewakariri walevi wa gongo😁Wengine wanaona ufahari kurudi wakiwa wamelewa 😄
Uko sahihi.Huu ujinga siwezi kufanya mara sijui umebeba nyanya, sijui samaki n.k
Mwisho wa siku unaanza kuagizwa, upitie nyanya, nyama mara sijui nini.
Acha hela, atajua yeye mwenyewe.
😂😂😂 noma sanakuna mmoja tulikuwa tunakulana tu sehemu nilikaa kama 2mnths hv, akawa muda mwingi yupo kwangu, nikawa nikitoka kwenye ishu zangu lazima niwe na mfuko umejaa mazaga.
alipokuja kuolewa mumewe akawa anarudi na makende yake tu japo alikuwa na kazi nzuri, siku uzalaendo ukamshinda akamwambia mumewe, "kwa nini usiwe kama granitized"?
mumewe kumbana akampa mkanda mzima, jamaa akamwambia nitafutie namba ya huyo granitized, bibie akampa jamaa akanitafuta nikampa maujanja, baada kama ya mwezi mwamba akanipigia akaniambia "mzee kuna mtu anataka kuniua na k huku" nikacheka tu, nikamwambia uwe unampelekea na chocolate siku 1 1.