MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hakuna kitu kama hicho. Hizo kazi za mama. Mwanaume rudi na hela.Mtoa mada hujamuelewa hajamaanisha urudi na rundo la mahitaji..Amemaanisha urudi na chochote kitu ndio maana kuna mmojq hapo kasema hata mkate mkate sio mbaya.