Mwanaume jenga utamaduni wa kurudi nyumbani na mfuko wa sokoni

Mwanaume jenga utamaduni wa kurudi nyumbani na mfuko wa sokoni

Ili ufanikiwe kwny maisha yako ni muhimu kuwa na personal budget mahtaji ya nyumban yatengee budget ya mwez mzma haya maswala ya mfuko wa sokoni ni kwa wale wasioish kwa budget kama basic needs mwez mzma tyr zpo mambo mfuko ni big no
 
True, sema kama una familia bas mara moja au mbili kwa week unaenda na vizawadi extra, eg, Yoghurt, mara juice, mara matunda mengine ambayo hayapo, mara umerudi na mbuzi choma,
Ewaaaaaahhhh!
 
Vipi nikiacha/nikitoa hela wakanunue wao wenyewe.
Kila siku nakuambia hudhuria vikao hutaki hudhuria vikao hutaki ona sasa

Siku ya kikao mwenyekiti alisisitiza kurudi na vitu mara kwa mara watoto wajue kabisaa hapa baba kweli tunae hapa bila baba ngoma ngumu,

Wanawake wana tabia ya kuwapa sumu watoto mapema sana sasa wewe acha hela ya maandani mmefungiana watoto watajua mama ndo kila kitu yule mzee anaenda kuzurura tu

Mwisho kabisa watamaliza na kimsemo kinachotumaliza cha nani kama mama hapo ujue kwisha habari yako
 
Ukiwa umeoa / nyumbani una familia hakikisha kila unaporudi home unarudi na mfuko umejaa vitu vya sokoni.

Ukijenga huo utamaduni itakuongezea heshima kwenye nyumba yako hata kabla haujaingia ndani ya nyumba yako utaona mke au watoto wanakukimbilia kukupokea.
Thubutu mm narudi na mfuko mwanamke anakuangalia kama nyanya mbichi
 
Jukumu la kwenda sokoni ni la mke. Acha kuingilia majukumu ya mkeo. Mpe hela ataamua akanunue nini kama mama house. Mambo yanayohusu jikoni usiingilie kabisa.... Usijifanye romantic kupitiliza.. utaharibu.
Sio kweli, mimi kila siku naacha 15k-20k na bado vitu vya sokoni narudi navyo mwenyewe bila kuambiwa, tena huwa nanunua vya kutosha vinaweza kukata hata wiki tatu hadi mwezi

Ukimpa pesa mkeo ya kununua vitu vya sokoni atanunua ila kwa kujibana sana

Ila ukinunua mwanaume; kama mimi nikipitia sokoni huwa nanunua vya kutosha pia naweza kuzidisha bajeti tofauti na pesa nitakayomwachia yeye inaweza kuwa ndogo hivyo hataweza kununua vya kutosha

Na nikiona namna gani vipi huwa naongozana nae sokoni namwambia achague chochote sometimes huwa namkabidhi wallet yenye pesa kabisa kisha mimi kazi yangu ni kubeba mazaga

Pia anapenda juice flani hivi hivyo kama siku sijisikii kubeba mizigo huwa napita kwa mangi namchukulia juice yake pendwa narudi nayo

Huwa nina utaratibu wa kukagua friji naangalia nini kimepungua nirudi nacho, pia kuna vitu kama mchele, sukari, maharage, unga hivi vyote huwa nanunua mwenyewe yeye atanijulusha tu kwamba kuna kitu kimepungua basi

Hivyo utakuta pesa nnayomwachia kwa hiyo 15k -20k nnayomwachia kwa siku ataipeleka kwa vikoba vyake huko na mimi huwa namwambia usije kujichanganya

Sasa wana vikoba wenzake nasikia wanamsema hakopi maana haiingizi faida yeye kazi yake ni kuweka tu
 
Sio kweli, mimi kila siku naacha 15k-20k na bado vitu vya sokoni narudi navyo mwenyewe bila kuambiwa, tena huwa nanunua vya kutosha vinaweza kukata hata wiki tatu hadi mwezi

Ukimpa pesa mkeo ya kununua vitu vya sokoni atanunua ila kwa kujibana sana

Ila ukinunua mwanaume; kama mimi nikipitia sokoni huwa nanunua vya kutosha pia naweza kuzidisha bajeti tofauti na pesa nitakayomwachia yeye inaweza kuwa ndogo hivyo hataweza kununua vya kutosha

Na nikiona namna gani vipi huwa naongozana nae sokoni namwambia achague chochote sometimes huwa namkabidhi wallet yenye pesa kabisa kisha mimi kazi yangu ni kubeba mazaga

Pia anapenda juice flani hivi hivyo kama siku sijisikii kubeba mizigo huwa napita kwa mangi namchukulia juice yake pendwa narudi nayo

Huwa nina utaratibu wa kukagua friji naangalia nini kimepungua nirudi nacho, pia kuna vitu kama mchele, sukari, maharage, unga hivi vyote huwa nanunua mwenyewe yeye atanijulusha tu kwamba kuna kitu kimepungua basi

Hivyo utakuta pesa nnayomwachia kwa hiyo 15k -20k nnayomwachia kwa siku ataipeleka kwa vikoba vyake huko na mimi huwa namwambia usije kujichanganya

Sasa wana vikoba wenzake nasikia wanamsema hakopi maana haiingizi faida yeye kazi yake ni kuweka tu
Wewe bado ni MASKINI. Nitafunga siku 3 bila kula kitimoto kukuombea huo ufukara wa hadi kukagua friji ukutoke. Kwa maelezo yako bado unaishi maisha fulani hivi ya kiswazi yenye harufu kali ya umaskini. Ukiacha hizo akili za kuongozana na mkeo sokoni mtafanya mambo makubwa ya maendeleo badala ya hivyo VICOBA
 
Mnaheshimiwa sana mbona ila muwe mnarudi na Vi wine kidogo na Vi Grand Malta, Kuku, Makange hata mkirudi asubuhi mje navyo tu 😜😜😅😅
Hivyo vimejaa kwa fridge ni wewe tu😜😜
 
Wewe bado ni MASKINI. Nitafunga siku 3 bila kula kitimoto kukuombea huo ufukara wa hadi kukagua friji ukutoke. Kwa maelezo yako bado unaishi maisha fulani hivi ya kiswazi yenye harufu kali ya umaskini. Ukiacha hizo akili za kuongozana na mkeo sokoni mtafanya mambo makubwa ya maendeleo badala ya hivyo VICOBA
Hujanielewa bado

Kuhusu kukagua friji ni kwamba naangalia kilichopungua (huwa napenda friji iwe full kuanzia soft drinks mpaka matunda) sisi hatutumii vilevi

Umezungumzia ishu ya kutoka na mke wangu kwenda sokoni ila hujazungumzia kuhusu kumkabidhi wallet yenye pesa
Sababu kuu ya kuongozana naye sokoni huwa sipendi apate shida ya kubeba mizigo wakati mumewe nipo pia huwa anajisikia vizuri kumsaidia

Kwa siku naacha kuanzia 15k -20k kumbuka ndani kuna kila kitu na vingine narudi navyo (pia nafanya kazi kariakoo na njia yangu ni lazima nipite kariakoo sokoni)

Ndiyo mimi ni masikini ila sijafika hatua ya kukosa pesa ya kula mkuu

Vicoba kajiunga kwa mapenzi yake mimi kaniomba ruhusa nimemruhusu ila binafsi sio mtu wa kujihusisha na michezo yao

Nashukuru kwa kuniombea mkuu ila binafsi naamini katika juhudi za utafutaji

Kwa kuongezea tu ni kwamba mimi ishu ya kuongozana na mke wangu sokoni ni mapenzi yetu ila yeye mwenyewe anapenda mimi nirudi na vitu vya sokoni sababu anajua nikirudi navyo mimi nitaleta vya kutosha

Nampa good care kiasi kwamba ukikutana naye huwezi jua kama ana mtoto na ananyonyesha
 
Hujanielewa bado

Kuhusu kukagua friji ni kwamba naangalia kilichopungua (huwa napenda friji iwe full kuanzia soft drinks mpaka matunda) sisi hatutumii vilevi

Umezungumzia ishu ya kutoka na mke wangu kwenda sokoni ila hujazungumzia kuhusu kumkabidhi wallet yenye pesa
Sababu kuu ya kuongozana naye sokoni huwa sipendi apate shida ya kubeba mizigo wakati mumewe nipo pia huwa anajisikia vizuri kumsaidia

Kwa siku naacha kuanzia 15k -20k kumbuka ndani kuna kila kitu na vingine narudi navyo (pia nafanya kazi kariakoo na njia yangu ni lazima nipite kariakoo sokoni)

Ndiyo mimi ni masikini ila sijafika hatua ya kukosa pesa ya kula mkuu

Vicoba kajiunga kwa mapenzi yake mimi kaniomba ruhusa nimemruhusu ila binafsi sio mtu wa kujihusisha na michezo yao

Nashukuru kwa kuniombea mkuu ila binafsi naamini katika juhudi za utafutaji

Kwa kuongezea tu ni kwamba mimi ishu ya kuongozana na mke wangu sokoni ni mapenzi yetu ila yeye mwenyewe anapenda mimi nirudi na vitu vya sokoni sababu anajua nikirudi navyo mimi nitaleta vya kutosha

Nampa good care kiasi kwamba ukikutana naye huwezi jua kama ana mtoto na ananyonyesha
Unajitetea sana. Kama bado uko kwenye level za kuwaza kwenye friji kuna nini bado uko chini sana. Waza maendeleo sio hayo mambo madogo madogo. Kujaza friji mwachie mkeo.
 
Back
Top Bottom