Mwanaume jipe kipaumbele wewe mwenyewe

Hiyo sentensi ya mwisho nakumbuka tulikubaliana tuwe tunawaambia watoto,wanawake na mama zetu tu.Na,hatukishia hapo.Tuliligusia hata neno "miss" kwenye sentensi kama "I miss you brother" nayo isiwepo kwenye misamiati yetu.
 
Subiri nikupe like yako kabla dada MSAGAJI Jadda hajaja kuharibu huu uzi Kwa comments zake mbaya zisizo na maadili,duniani hadi akhera
 
Jamani 😅😅😅mnataka tuishi vipi sasa
 
50 ni baharia mwandamizi mtu wa maana kabisa.
 
Mleta mada umeongea fact kubwa sana, unakuta lijamaa linajitutumua kwa manz anashindwa hata kuvaa code nzuri, kulavizur kisa dem daah huw nawashangaa sana
Wajinga wamedanganywa mwanamke anahitaji matunzo na wao wanapelekwa tu na upepo kumbe wanawake wenyewe washaona mapenzi ni fursa ya kiuchumi.
 
Mbona mahusiano siku hizi kama VITA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…