min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Kufunga ndoa ni msala mkuu , umejipeleka machinjioni mwenyewe haupindui.Wadau wamesema hawajakataa ndoa ila vyeti vya ndoa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufunga ndoa ni msala mkuu , umejipeleka machinjioni mwenyewe haupindui.Wadau wamesema hawajakataa ndoa ila vyeti vya ndoa mkuu
Ukiona unaitiwa fursa tambua ww ndo fursaTunyuzi twa kuwasema wasio taka ndoa tumekua twingi, fun enough ni kwamba tote tunaandikwa kwa kupanic. Kama wew unataka ndoa bs hayo ni maamuzi yako wew, na asietaka ndoa ni maamuzi yake yeye regardless uzito wa sababu yake.
Kila mmoja aishi yake anayo ya admire to the fullest. Hakuna sheria inayo lazimisha kuoa. Na kituko ni kwamba mnaleta nyuzi za kukejeli na kudhihaki maamuzi yao badala ya kuwashauri na kuwapa reasonable facts za kwa nin ni vizur na muhimu kwao kuoa. Msijifanye mna enjoy sana huko ndoani.
Tumeambiwa tufunge ndoa kwa mda mrefu ila tumechanganya na za kwetu tukaona ndoa ni utapeli. Ila ww utaishi maisha marefu mno haupendagi kukaza fuvu , upo simple sna hongera.Za kuambiwa changanya na za kwako...
Mapenzi na umasikini havikai pamojaWanawake mwanzo anakuja na biti za nitakuvumilia ,hata ugali dagaa nitakula ,baadae anakugeuka anaanza kukuona hutafuti ,anaanza kukulinganisha na wanaume wenye pesa ,anakuacha ...