Mwanaume kamili huwezi Kimbia Kuoa kutokana na Changamoto za Ndoa

Ukiona unaitiwa fursa tambua ww ndo fursa
 
Za kuambiwa changanya na za kwako...
Tumeambiwa tufunge ndoa kwa mda mrefu ila tumechanganya na za kwetu tukaona ndoa ni utapeli. Ila ww utaishi maisha marefu mno haupendagi kukaza fuvu , upo simple sna hongera.
 
Wanawake mwanzo anakuja na biti za nitakuvumilia ,hata ugali dagaa nitakula ,baadae anakugeuka anaanza kukuona hutafuti ,anaanza kukulinganisha na wanaume wenye pesa ,anakuacha ...
Mapenzi na umasikini havikai pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…