Kimbunga Job
Member
- May 13, 2021
- 82
- 172
We hutak?Kila rakheri Lady
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We hutak?Kila rakheri Lady
Hachezagi mbali na kojoleo langu....Hahaha
Mwenye mali keshafika
Nataka mkuuWe hutak?
Hachezagi mbali na kojoleo langu....
Ndio uzuri wa kufunga ndoa siku mnapata kipaimara
Daaahh, babu bado unakula vinono sana, sipati picha jinsi unavyochukua vipimo vya hizo andaweaAhsante sana kwa kunishirikisha kwenye masuala nyeti kama haya... tatizo kasema hataki mwenye mke wakati mimi na Sky Eclat tumegandishwa na welding ya roho mtakatifu...
Hebu niulizie kama yuko tayari kuwa mchepuko nijiongezee dhambi kisirisiri...
Mwambie elimu yangu ni VETA nimespesholaizi kwenye kudarizi andawea za kike
Siku ukiweka tangazo lako nitag tafadhali...Kila rakheri Lady
Kabla ya yote naomba nijue sababu moja au mbili zilizoshiba, za kusababisha kuwa mtalaka.
Sawa mkuu! Soon nawekaSiku ukiweka tangazo lako nitag tafadhali...
Sidhani kama yule mwamba anahitaji chura wa kukalia....la kukalia lipo
Sidhani kama yule mwamba anahitaji chura wa kukalia....
Ndio maa naa uliachikaAnaepumua atafutane mwanamke anaepumua
Ndio maa naa uliachika
Weee, hii ni staili pendwa, B.mkubwadog style sio kila kitu kwenye mapenzi
Kumbe wewe ndio unayetafuta bwana? Nikajua unampigia chapuo shosti yako....hayo matumizi yake mimi situmiwi