Mwanaume kamili wa kuongezeana furaha na siku za kuishi duniani anatafutwa

Mwanaume kamili wa kuongezeana furaha na siku za kuishi duniani anatafutwa

Kwa kweli ndoa ni kitu kigumu. Una degree mbili na talaka juu? Nadhani wanaoweza kumudu mikiki Miki ya kwenye ndoa ni std 7 Hadi diploma .huko kwingine unanua matatizo.
Uko sawa kabisa mwanamke msomi ni stress tupu kwani anajua kila kitu huwezi mdanganya chochote kuna wanawake wanajua kila kitu hadi kubeti sasa huyu ukipitia bar na colleagues zako ukirud home huna cha kumdanganya kwanza unakuta ushahukumiwa [emoji23]
 
Ahsante sana kwa kunishirikisha kwenye masuala nyeti kama haya... tatizo kasema hataki mwenye mke wakati mimi na Sky Eclat tumegandishwa na welding ya roho mtakatifu...

Hebu niulizie kama yuko tayari kuwa mchepuko nijiongezee dhambi kisirisiri...

Mwambie elimu yangu ni VETA nimespesholaizi kwenye kudarizi andawea za kike
Daah!!!
 
Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner

Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi

Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka

Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Mbona unataka mkristo? wakati wakristo unaowataka imani yao haiwaruhu kuoa mwanamke aliyeachwa isipokuwa amefiwa na mumewe.
 
Sisi wenye miaka 31 na tunaitaji kuwa na mwenza tunafanyaje jaman mbona mnatunyima usingizi [emoji17][emoji17][emoji17]
 
Mbona unataka mkristo? wakati wakristo unaowataka imani yao haiwaruhu kuoa mwanamke aliyeachwa isipokuwa amefiwa na mumewe.

Hilo nimeliweka wazi kabisaaa
"Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake"

soma tena kwa umakini
 
Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner

Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi

Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka

Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Hapa wanatafutwa wa kugegedana tu ngoja nije mm tugegedane mm Nina watoto wanne Kila mtu na mama Yake Kaz yangu Ni dereva bajaj mwenge elimu yangu Ni ka degree kamoja ka IT,kadegree kamoja ka microbiology and forensic science (Australia) na ka diploma kamoja ka conflict mangmnt ,umri miaka 48 kwa Sasa Sina pesa ila Nina akili ya kutafuta pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom