Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sawa kabisa mwanamke msomi ni stress tupu kwani anajua kila kitu huwezi mdanganya chochote kuna wanawake wanajua kila kitu hadi kubeti sasa huyu ukipitia bar na colleagues zako ukirud home huna cha kumdanganya kwanza unakuta ushahukumiwa [emoji23]Kwa kweli ndoa ni kitu kigumu. Una degree mbili na talaka juu? Nadhani wanaoweza kumudu mikiki Miki ya kwenye ndoa ni std 7 Hadi diploma .huko kwingine unanua matatizo.
Daah!!!Ahsante sana kwa kunishirikisha kwenye masuala nyeti kama haya... tatizo kasema hataki mwenye mke wakati mimi na Sky Eclat tumegandishwa na welding ya roho mtakatifu...
Hebu niulizie kama yuko tayari kuwa mchepuko nijiongezee dhambi kisirisiri...
Mwambie elimu yangu ni VETA nimespesholaizi kwenye kudarizi andawea za kike
Mbona unataka mkristo? wakati wakristo unaowataka imani yao haiwaruhu kuoa mwanamke aliyeachwa isipokuwa amefiwa na mumewe.Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner
Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi
Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka
Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Shahada mbili zinahusu nini?
Julai 2 nitakuwa nafikisha 69 yrs, je nije PM?
Au niko Umri wa kustaafu?
Zamani ipi unayoitaka wewe?ID yako ya zamani ni ipi??
Upweke ni kitu kimoja kibaya sanaa
Kila mtu anahitaji kwa na mtu katika maisha yake
All the best
kukubali kupeleka ujumbe inabidi kuvaa uhusika.Kumbe wewe ndio unayetafuta bwana? Nikajua unampigia chapuo shosti yako....
Mbona unataka mkristo? wakati wakristo unaowataka imani yao haiwaruhu kuoa mwanamke aliyeachwa isipokuwa amefiwa na mumewe.
🤣 🤣 🤣 🤣Sidhani kama yule mwamba anahitaji chura wa kukalia....
Hapa wanatafutwa wa kugegedana tu ngoja nije mm tugegedane mm Nina watoto wanne Kila mtu na mama Yake Kaz yangu Ni dereva bajaj mwenge elimu yangu Ni ka degree kamoja ka IT,kadegree kamoja ka microbiology and forensic science (Australia) na ka diploma kamoja ka conflict mangmnt ,umri miaka 48 kwa Sasa Sina pesa ila Nina akili ya kutafuta pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner
Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi
Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka
Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe