Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa wanatafutwa wa kugegedana tu ngoja nije mm tugegedane mm Nina watoto wanne Kila mtu na mama Yake Kaz yangu Ni dereva bajaj mwenge elimu yangu Ni ka degree kamoja ka IT,kadegree kamoja ka microbiology and forensic science (Australia) na ka diploma kamoja ka conflict mangmnt ,umri miaka 48 kwa Sasa Sina pesa ila Nina akili ya kutafuta pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimefrah tu kwa huba la moyo wangu kwakounacheka tena?
Woow!!Hatimae nmepata mwenza karibu mama tuyajenge nahisi kukudhi vigezo vyako..for so long nmekuwa nahitaji mtu kama wewe.
Nimefrah tu kwa huba la moyo wangu kwako
Usije tu ukachepuka na mwenza mtarajiwa wa unayempigia debe...kukubali kupeleka ujumbe inabidi kuvaa uhusika.
Usije tu ukachepuka na mwenza mtarajiwa wa unayempigia debe...
Basi fanya tutafutane basi tuunganishe Mastaz yako na VETA yangu tuone nini kitatokea....Haha sitafanya hivyo
Tunazungumzia mwanaume wa kikristo(kwa status yake yoyote aliyonayo awe single,mgane au mtalaka) haruhusiwi kukuoa wewe uliyeachwa kwa sababu atakuwa anazini kwa mujibu wa maandiko.Ndoa ya kikristo haina kuachana isipokuwa kwa kosa la uzinzi. otherwise imethibitika kwamba sababu ya talaka yako ulimfuma mwenzio anazini.Hilo nimeliweka wazi kabisaaa
"Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake"
soma tena kwa umakini
Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner
Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi
Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka
Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Hizo shahada mbili - ni 1 ya sababu ndoa yake kuvunjika, iwe direct / indirect wapo wanawake wanaosoma na wanaelimika, na wapo wanaosoma vichwa vyao vina corrupt wanataka kuplay role ya mwanaume kwenye ndoaShahada mbili zinahusu nini?
Basi fanya tutafutane basi tuunganishe Mastaz yako na VETA yangu tuone nini kitatokea....
Uko sahihi kabisaTunazungumzia mwanaume wa kikristo(kwa status yake yoyote aliyonayo awe single,mgane au mtalaka) haruhusiwi kukuoa wewe uliyeachwa kwa sababu atakuwa anazini kwa mujibu wa maandiko.Ndoa ya kikristo haina kuachana isipokuwa kwa kosa la uzinzi. otherwise imethibitika kwamba sababu ya talaka yako ulimfuma mwenzio anazini.
Samahani,hapo nipo tu kwenye hiyo sifa moja ya kikristo uliyoitaka
Hahahah alieachwa atakuwa komredi😅😅😅Kuna mwenzenu keshaachwa huku Jasmoni Tegga Asprin mrangi Extrovert
Avaae kiatu ndio anayejua maumivu yake. Kila la heri kwa huyo mwanamke mwenzangu
Cc Lady
Hizo shahada mbili - ni 1 ya sababu ndoa yake kuvunjika, iwe direct / indirect wapo wanawake wanaosoma na wanaelimika, na wapo wanaosoma vichwa vyao vina corrupt wanataka kuplay role ya mwanaume kwenye ndoa
Masharti yako ni magumu ukizingatia ni single maza tena na mtalaka juu ni bora utupe sababu ya iyo talaka kabla mtu ajaamua kujilipua.
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1]Upweke ni kitu kimoja kibaya sanaa
Kila mtu anahitaji kwa na mtu katika maisha yake
All the best
Kila la heri, nashauri vumilia kwanza, jipe breakKama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner
Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi
Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka
Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe