Mwanaume kamili wa kuongezeana furaha na siku za kuishi duniani anatafutwa

Mwanaume kamili wa kuongezeana furaha na siku za kuishi duniani anatafutwa

Hapa wanatafutwa wa kugegedana tu ngoja nije mm tugegedane mm Nina watoto wanne Kila mtu na mama Yake Kaz yangu Ni dereva bajaj mwenge elimu yangu Ni ka degree kamoja ka IT,kadegree kamoja ka microbiology and forensic science (Australia) na ka diploma kamoja ka conflict mangmnt ,umri miaka 48 kwa Sasa Sina pesa ila Nina akili ya kutafuta pesa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

unacheka tena?
 
Woow!!Hatimae nmepata mwenza karibu mama tuyajenge nahisi kukudhi vigezo vyako..for so long nmekuwa nahitaji mtu kama wewe.
 
Hilo nimeliweka wazi kabisaaa
"Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake"

soma tena kwa umakini
Tunazungumzia mwanaume wa kikristo(kwa status yake yoyote aliyonayo awe single,mgane au mtalaka) haruhusiwi kukuoa wewe uliyeachwa kwa sababu atakuwa anazini kwa mujibu wa maandiko.Ndoa ya kikristo haina kuachana isipokuwa kwa kosa la uzinzi. otherwise imethibitika kwamba sababu ya talaka yako ulimfuma mwenzio anazini.

Samahani,hapo nipo tu kwenye hiyo sifa moja ya kikristo uliyoitaka
 
Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner

Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi

Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka

Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe

Masharti yako ni magumu ukizingatia ni single maza tena na mtalaka juu ni bora utupe sababu ya iyo talaka kabla mtu ajaamua kujilipua.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Shahada mbili zinahusu nini?
Hizo shahada mbili - ni 1 ya sababu ndoa yake kuvunjika, iwe direct / indirect wapo wanawake wanaosoma na wanaelimika, na wapo wanaosoma vichwa vyao vina corrupt wanataka kuplay role ya mwanaume kwenye ndoa
 
Tunazungumzia mwanaume wa kikristo(kwa status yake yoyote aliyonayo awe single,mgane au mtalaka) haruhusiwi kukuoa wewe uliyeachwa kwa sababu atakuwa anazini kwa mujibu wa maandiko.Ndoa ya kikristo haina kuachana isipokuwa kwa kosa la uzinzi. otherwise imethibitika kwamba sababu ya talaka yako ulimfuma mwenzio anazini.

Samahani,hapo nipo tu kwenye hiyo sifa moja ya kikristo uliyoitaka
Uko sahihi kabisa
ndio maana nimesoma mume wa mtu hapana
 
Hizo shahada mbili - ni 1 ya sababu ndoa yake kuvunjika, iwe direct / indirect wapo wanawake wanaosoma na wanaelimika, na wapo wanaosoma vichwa vyao vina corrupt wanataka kuplay role ya mwanaume kwenye ndoa

Jambo usiloijua usinichukie bango kulitetea....
 
Masharti yako ni magumu ukizingatia ni single maza tena na mtalaka juu ni bora utupe sababu ya iyo talaka kabla mtu ajaamua kujilipua.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app

ungekua na haki ya kuandika ulichoandika kama ningekua nimekulazimisha kuwa na mimi

ila sababu hakuna ukijuacho jinyamazie tuu. hiyo ni heshima
 
Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner

Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi

Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka

Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Kila la heri, nashauri vumilia kwanza, jipe break
 
Mimi naogopa sana kufwata hawa wanawake wanaowawekea conditions wanaume. Kuna mmoja alitoa tangazo hapa na masharti mengi nilivyomfwata huko chumba cha siri
Hata sikuamini kachoka sana maisha yamempiga lakini vigezo alivyoweka utamhurumia
Nikajua huyu ana shida ya akili
 
Back
Top Bottom