mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Haujaoa tulia wewe,hii mada kwa wenye ndoa.Sasa sie tusiojua kutomber mnatusaidiaje? Maana sie bao la kwanza ni dakika nne max
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujaoa tulia wewe,hii mada kwa wenye ndoa.Sasa sie tusiojua kutomber mnatusaidiaje? Maana sie bao la kwanza ni dakika nne max
Sawa wacha nitulie zanguHaujaoa tulia wewe,hii mada kwa wenye ndoa.
Amesemea iwe kwa mkeo sio malaya zakoHainihusu. Kila MTU ashinde match zake.
Lodge nilipie, chakula nikulishe pesa nikupe kisha nipambane ufike mawenzi hapana hapana.
Napiga goli zangu zakutosha wewe utajua mwenyewe
[emoji706][emoji706]Sawa wacha nitulie zangu
Njoo darsani nikupe tiba...Tiba ni ipi?
Hao wanawake wamekutana na washamba wenzao... Wakikutana na mwanaume akamkojoza bao 2 alafu mwanaume hana kitu bado... Ndio ataona kumbe kuna raha alikuwa anakosa anajidanganya...mkuu km ungesika manen ya wanawake kuhusu kupiga bao mmoja daaah 😁😁😁
Naam...Uwiano huwa ni bao 1:2 au 1:3 kuna wengine wazembe ukigusa kwenye maradhi yake unaweza kupata 1:5 hivi au 2:kwa idadi isiyojulikana.
Endelea kufikiri hivyo... Hakuna heshima yenye maana kama heshima ya mkeo kitandani...Kwani imekuwa kazi hiyo Sasa ITAKUWA utumwa
My friend wapo... Tena nilishuhudia mmoja anasema kabisa... Kila baada ya dakika mbili akisugua sugua anakojoa... Akapiga 4 za chap chap... Na wengine wanasimuliaga humu kama sifa kumbe ni aibu... Eti nikampiga mbili za chap... BAO MBILI ZA CHAP CHAP KWELIIII...Hakuna anaeenda bao 5 6 7 acheni ujuha ,😅
MWANAUMEAiseeee..... Me nataka kujua jinsia yako please sanaa
Aah mkuu, ni vyema ukatema madini apa kwa faida ya wengiNjoo darsani nikupe tiba...
Kila baad ya dk mbili haiko sawa mkuu ,ata biologically haiwezekan 2 minute ,it means ndani ya 10 minutes bao 5 😅😅😅My friend wapo... Tena nilishuhudia mmoja anasema kabisa... Kila baada ya dakika mbili akisugua sugua anakojoa... Akapiga 4 za chap chap... Na wengine wanasimuliaga humu kama sifa kumbe ni aibu... Eti nikampiga mbili za chap... BAO MBILI ZA CHAP CHAP KWELIIII...
MIMI NAVYOJUA KWA MWANAUME SAWA SAWA MBILI NI USIKU KUCHA...
acha upuuzi,raha jipe mwenyewe...naweka hata 10 asipokuwa na timing zake akawa anaunganishia humo humo kukojoa atapata ela..duniani sio lazima kupata kila kitu..kala,kanywa ,kawekwa na bado akojoe vya kutosha.Hii ni dhana potofu na ni tatizo.
Yaani mwanaume unaenda bao 3, 4 au 6 halafu mkeo ana bao 1 tu au hajapata kabisa, hilo ni tatizo rafiki zangu. Mwanaume mwenye nguvu (rijali) hasifiki kwa idadi ya bao anazopiga yeye, abadani, anasifika kwa muda anaotumia kutoka bao moja kwenda jingine, hiyo ni moja.
Mbili, mwanaume rijali hasifiki kwa idadi ya bao anazozipiga yeye, ila atasifika kwa idadi ya mabao anayompigisha mwanamke (anamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi).
Alafu urijali wa mwanaume ni ahakikishe bao lake linaenda sambamba na bao la mkewe, hakuna utamu unaofikia pale mabao yanapokutana.
Sasa wewe unapiga mabao 4 ya dakika kumi kumi halafu unatoka unajisifia nimepiga bao 4, ni aibu usiongee hivyo mbele za watu. Ni tatizo hilo, tafuta tiba.
Jitahidi kwenye tendo matokeo yawe hivi:
Mume 1 - Mke 1
Mume 2 - Mke 2 (yaani 'draw' ya idadi yoyote ya mabao)
Au
Mume 0 - Mke 2
Mume 1 - Mke 3
Toka kwenye tendo mmetoka 'draw' ya mabao ya kufungana au wewe umefungwa na mkeo.
Sio unatoka;
Mume 4 - Mke 1 (halafu unakuja unatamba mtaani).
nmewackia zaidi ya wawil kuwa wanaume zao wanapg kimoja tu na hawallzish kbs... wanajimalzia wnyw kwa kujiongez mkuu ukipata nafc ya kupga bao sita au kumi we piga hata akipat mmoja sio mbayHao wanawake wamekutana na washamba wenzao... Wakikutana na mwanaume akamkojoza bao 2 alafu mwanaume hana kitu bado... Ndio ataona kumbe kuna raha alikuwa anakosa anajidanganya...
Shehe!, Kwani kina mama nao wanatoa manii, au unapolinganisha bao la mme na mke una maanisha nn?Hii ni dhana potofu na ni tatizo.
Yaani mwanaume unaenda bao 3, 4 au 6 halafu mkeo ana bao 1 tu au hajapata kabisa, hilo ni tatizo rafiki zangu. Mwanaume mwenye nguvu (rijali) hasifiki kwa idadi ya bao anazopiga yeye, abadani, anasifika kwa muda anaotumia kutoka bao moja kwenda jingine, hiyo ni moja.
Mbili, mwanaume rijali hasifiki kwa idadi ya bao anazozipiga yeye, ila atasifika kwa idadi ya mabao anayompigisha mwanamke (anamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi).
Alafu urijali wa mwanaume ni ahakikishe bao lake linaenda sambamba na bao la mkewe, hakuna utamu unaofikia pale mabao yanapokutana.
Sasa wewe unapiga mabao 4 ya dakika kumi kumi halafu unatoka unajisifia nimepiga bao 4, ni aibu usiongee hivyo mbele za watu. Ni tatizo hilo, tafuta tiba.
Jitahidi kwenye tendo matokeo yawe hivi:
Mume 1 - Mke 1
Mume 2 - Mke 2 (yaani 'draw' ya idadi yoyote ya mabao)
Au
Mume 0 - Mke 2
Mume 1 - Mke 3
Toka kwenye tendo mmetoka 'draw' ya mabao ya kufungana au wewe umefungwa na mkeo.
Sio unatoka;
Mume 4 - Mke 1 (halafu unakuja unatamba mtaani).
Basi hata hospital zingeishia mitandaoni tu...Aah mkuu, ni vyema ukatema madini apa kwa faida ya wengi
Wewe sema haiwezekani...Kila baad ya dk mbili haiko sawa mkuu ,ata biologically haiwezekan 2 minute ,it means ndani ya 10 minutes bao 5 😅😅😅
SSasa mtu anapiga bao moja... Mwenzake hajafika... Sasa hilo bao moja la nini...? Yaani hata ukipiga bao 10 na mwenzako hajapiga hata moja... Ni kuchoshana tu...nmewackia zaidi ya wawil kuwa wanaume zao wanapg kimoja tu na hawallzish kbs... wanajimalzia wnyw kwa kujiongez mkuu ukipata nafc ya kupga bao sita au kumi we piga hata akipat mmoja sio mbay
Naam... Na wao wanatoa manii... Waulize hapa... Wakifika mshindo huwa wanajisikiaje kule chini? Yaani ile ladha unayoisikia unapokojoa wewe... Basi na mwanamke vivyo hivyo...Shehe!, Kwani kina mama nao wanatoa manii, au unapolinganisha bao la mme na mke una maanisha nn?
Hospitali tunanunua dawa na kupimwa.Basi hata hospital zingeishia mitandaoni tu...
Kwa taarifa yako... Utahangaika kutafuta pesa weee... Ila mwisho wa siku matumizi yake ni kwenye TUMBO na TENDO LA NDOA...Mkuu haunaga kazi za kufanya zaidi ya kuwaza K tu?, Tunza nguvu zako zikusaidie uzeeni.