Mwanaume kupiga bao nyingi kwa tendo moja nayo ni dhana potofu

Mwanaume kupiga bao nyingi kwa tendo moja nayo ni dhana potofu

mkuu km ungesika manen ya wanawake kuhusu kupiga bao mmoja daaah 😁😁😁
Hao wanawake wamekutana na washamba wenzao... Wakikutana na mwanaume akamkojoza bao 2 alafu mwanaume hana kitu bado... Ndio ataona kumbe kuna raha alikuwa anakosa anajidanganya...
 
Hakuna anaeenda bao 5 6 7 acheni ujuha ,😅
My friend wapo... Tena nilishuhudia mmoja anasema kabisa... Kila baada ya dakika mbili akisugua sugua anakojoa... Akapiga 4 za chap chap... Na wengine wanasimuliaga humu kama sifa kumbe ni aibu... Eti nikampiga mbili za chap... BAO MBILI ZA CHAP CHAP KWELIIII...

MIMI NAVYOJUA KWA MWANAUME SAWA SAWA MBILI NI USIKU KUCHA...
 
My friend wapo... Tena nilishuhudia mmoja anasema kabisa... Kila baada ya dakika mbili akisugua sugua anakojoa... Akapiga 4 za chap chap... Na wengine wanasimuliaga humu kama sifa kumbe ni aibu... Eti nikampiga mbili za chap... BAO MBILI ZA CHAP CHAP KWELIIII...

MIMI NAVYOJUA KWA MWANAUME SAWA SAWA MBILI NI USIKU KUCHA...
Kila baad ya dk mbili haiko sawa mkuu ,ata biologically haiwezekan 2 minute ,it means ndani ya 10 minutes bao 5 😅😅😅
 
Hii ni dhana potofu na ni tatizo.

Yaani mwanaume unaenda bao 3, 4 au 6 halafu mkeo ana bao 1 tu au hajapata kabisa, hilo ni tatizo rafiki zangu. Mwanaume mwenye nguvu (rijali) hasifiki kwa idadi ya bao anazopiga yeye, abadani, anasifika kwa muda anaotumia kutoka bao moja kwenda jingine, hiyo ni moja.

Mbili, mwanaume rijali hasifiki kwa idadi ya bao anazozipiga yeye, ila atasifika kwa idadi ya mabao anayompigisha mwanamke (anamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi).

Alafu urijali wa mwanaume ni ahakikishe bao lake linaenda sambamba na bao la mkewe, hakuna utamu unaofikia pale mabao yanapokutana.

Sasa wewe unapiga mabao 4 ya dakika kumi kumi halafu unatoka unajisifia nimepiga bao 4, ni aibu usiongee hivyo mbele za watu. Ni tatizo hilo, tafuta tiba.

Jitahidi kwenye tendo matokeo yawe hivi:
Mume 1 - Mke 1
Mume 2 - Mke 2 (yaani 'draw' ya idadi yoyote ya mabao)

Au

Mume 0 - Mke 2
Mume 1 - Mke 3

Toka kwenye tendo mmetoka 'draw' ya mabao ya kufungana au wewe umefungwa na mkeo.

Sio unatoka;
Mume 4 - Mke 1 (halafu unakuja unatamba mtaani).
acha upuuzi,raha jipe mwenyewe...naweka hata 10 asipokuwa na timing zake akawa anaunganishia humo humo kukojoa atapata ela..duniani sio lazima kupata kila kitu..kala,kanywa ,kawekwa na bado akojoe vya kutosha.
 
Hao wanawake wamekutana na washamba wenzao... Wakikutana na mwanaume akamkojoza bao 2 alafu mwanaume hana kitu bado... Ndio ataona kumbe kuna raha alikuwa anakosa anajidanganya...
nmewackia zaidi ya wawil kuwa wanaume zao wanapg kimoja tu na hawallzish kbs... wanajimalzia wnyw kwa kujiongez mkuu ukipata nafc ya kupga bao sita au kumi we piga hata akipat mmoja sio mbay
 
Hii ni dhana potofu na ni tatizo.

Yaani mwanaume unaenda bao 3, 4 au 6 halafu mkeo ana bao 1 tu au hajapata kabisa, hilo ni tatizo rafiki zangu. Mwanaume mwenye nguvu (rijali) hasifiki kwa idadi ya bao anazopiga yeye, abadani, anasifika kwa muda anaotumia kutoka bao moja kwenda jingine, hiyo ni moja.

Mbili, mwanaume rijali hasifiki kwa idadi ya bao anazozipiga yeye, ila atasifika kwa idadi ya mabao anayompigisha mwanamke (anamfikisha mwanamke kileleni mara ngapi).

Alafu urijali wa mwanaume ni ahakikishe bao lake linaenda sambamba na bao la mkewe, hakuna utamu unaofikia pale mabao yanapokutana.

Sasa wewe unapiga mabao 4 ya dakika kumi kumi halafu unatoka unajisifia nimepiga bao 4, ni aibu usiongee hivyo mbele za watu. Ni tatizo hilo, tafuta tiba.

Jitahidi kwenye tendo matokeo yawe hivi:
Mume 1 - Mke 1
Mume 2 - Mke 2 (yaani 'draw' ya idadi yoyote ya mabao)

Au

Mume 0 - Mke 2
Mume 1 - Mke 3

Toka kwenye tendo mmetoka 'draw' ya mabao ya kufungana au wewe umefungwa na mkeo.

Sio unatoka;
Mume 4 - Mke 1 (halafu unakuja unatamba mtaani).
Shehe!, Kwani kina mama nao wanatoa manii, au unapolinganisha bao la mme na mke una maanisha nn?
 
Aah mkuu, ni vyema ukatema madini apa kwa faida ya wengi
Basi hata hospital zingeishia mitandaoni tu...
Kila baad ya dk mbili haiko sawa mkuu ,ata biologically haiwezekan 2 minute ,it means ndani ya 10 minutes bao 5 😅😅😅
Wewe sema haiwezekani...
nmewackia zaidi ya wawil kuwa wanaume zao wanapg kimoja tu na hawallzish kbs... wanajimalzia wnyw kwa kujiongez mkuu ukipata nafc ya kupga bao sita au kumi we piga hata akipat mmoja sio mbay
SSasa mtu anapiga bao moja... Mwenzake hajafika... Sasa hilo bao moja la nini...? Yaani hata ukipiga bao 10 na mwenzako hajapiga hata moja... Ni kuchoshana tu...
 
Shehe!, Kwani kina mama nao wanatoa manii, au unapolinganisha bao la mme na mke una maanisha nn?
Naam... Na wao wanatoa manii... Waulize hapa... Wakifika mshindo huwa wanajisikiaje kule chini? Yaani ile ladha unayoisikia unapokojoa wewe... Basi na mwanamke vivyo hivyo...
 
Mkuu haunaga kazi za kufanya zaidi ya kuwaza K tu?, Tunza nguvu zako zikusaidie uzeeni.
Kwa taarifa yako... Utahangaika kutafuta pesa weee... Ila mwisho wa siku matumizi yake ni kwenye TUMBO na TENDO LA NDOA...
 
Back
Top Bottom